takbiiir!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!mwenyekiti wa chadema, freeman mbowe, anayewania ubunge katika jimbo la hai, amewekewa pingamizi kwa madai ya kukwepa kulipa kodi ya serikali inayofikia sh. Milioni 48.
takbiiir!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hebu ilete hiyo habari ifanane na ukweli kidogo japo haiatakiMwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, anayewania ubunge katika Jimbo la Hai, amewekewa pingamizi kwa madai ya kukwepa kulipa kodi ya serikali inayofikia Sh. milioni 48.
hebu ilete hiyo habari ifanane na ukweli kidogo japo haiataki
Kimbita anajua malalamiko yake hayawezi kumzuia Mbowe kugombea anachofanya ni part ya kampaini, kumchafulia mbowe Jina.Mbowe amekiuka masharti ya kugombea nafasi hiyo kifungu namba 67 (1) cha katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambacho kinamtaka mgombea asiwe ametiwa hatiani kwa kosa lolote la kutokulipa kodi ya serikali.
Hii ni allegation. Hajatiwa hatiani kwa mujibu wa katiba ya nchi. Hilo dai kwa macho yangu halina mshiko.
nafikiri hicho kifungu kitakuwa kimebakwa kama hapo kwenye bold ndivyo kinavyodai.Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, anayewania ubunge katika Jimbo la Hai, amewekewa pingamizi kwa madai ya kukwepa kulipa kodi ya serikali inayofikia Sh. milioni 48.
Pingamizi hilo limewekwa na mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM, Fuya Kimbita, anayedai kuwa Mbowe alikwepa kulipa kodi ya serikali ya biashara ya hotel ya kitalii anayomiliki ya Aishi Protea iliyopo Machame.
Kwa mujibu wa barua iliyowasilishwa na Kimbita kwa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo, amedai kuwa Mbowe amekiuka masharti ya kugombea nafasi hiyo kifungu namba 67 (1) cha katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambacho kinamtaka mgombea asiwe ametiwa hatiani kwa kosa lolote la kutokulipa kodi ya serikali.
Barua hiyo imeeleza kuwa kodi inayodaiwa katika hotel hiyo ni ya kipindi cha Desemba 2008 hadi Novemba 2009. Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Hai, Nicholaus Mtega, amethibitisha kupokea barua ya pingamizi kutoka kwa Kimbita.
walahi hatukubaaaari!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
peleka ugaidi wako kule umeuona huo tu, kwani aliyepost takbiiir hujamuona kwani tuko kwenyemhadhara hapa?upuuzi umeanza tena!
Kumbe mnajuwana enhee!!!peleka ugaidi wako kule umeuona huo tu, kwani aliyepost takbiiir hujamuona kwani tuko kwenyemhadhara hapa?
Nimesoma kwenye gazeti moja leo asubuhi kuwa Mhe Frreman Mbowe amewekewa pingamizi kwa madai kuwa Mbowe kupitia Hoteli yake ya Aishi Protea Hoteli iliyoko Machame hajalipa kodi ya serikali kiasi cha Milioni 48. Je kuna mwenye taarifa zaidi atujuze tafadhali!
Nimesoma kwenye gazeti moja leo asubuhi kuwa Mhe Frreman Mbowe amewekewa pingamizi kwa madai kuwa Mbowe kupitia Hoteli yake ya Aishi Protea Hoteli iliyoko Machame hajalipa kodi ya serikali kiasi cha Milioni 48. Je kuna mwenye taarifa zaidi atujuze tafadhali!