Nimesoma kwenye gazeti moja leo asubuhi kuwa Mhe Frreman Mbowe amewekewa pingamizi kwa madai kuwa Mbowe kupitia Hoteli yake ya Aishi Protea Hoteli iliyoko Machame hajalipa kodi ya serikali kiasi cha Milioni 48. Je kuna mwenye taarifa zaidi atujuze tafadhali![/QUOT
Haya masuala ya pingamizi yameanza kuwa kama mchezo wa kuigiza. Kama Hoteli inadaiwa kuna uhusiano gani na mgombea ubunge? Au hivi vyombo vinavyoshughulikia pingamizi vimekuwa kama shimo la taka hupokea kila takataka la pingamizi bila kuwepo vigezo vinavyoelekeza ni aina gani ya pingamizi inapaswa kutambulika kama pingamizi
Nimesoma kwenye gazeti moja leo asubuhi kuwa Mhe Frreman Mbowe amewekewa pingamizi kwa madai kuwa Mbowe kupitia Hoteli yake ya Aishi Protea Hoteli iliyoko Machame hajalipa kodi ya serikali kiasi cha Milioni 48. Je kuna mwenye taarifa zaidi atujuze tafadhali!
Jamani tumsamehe bure labda hakujua maana ya neno 'abandoned'. Pole LeopoldByongje siku nyingine uwe unatembea na dictionary.Nimesoma kwenye gazeti moja leo asubuhi kuwa Mhe Frreman Mbowe amewekewa pingamizi kwa madai kuwa Mbowe kupitia Hoteli yake ya Aishi Protea Hoteli iliyoko Machame hajalipa kodi ya serikali kiasi cha Milioni 48. Je kuna mwenye taarifa zaidi atujuze tafadhali!
Meanwhile, the objections raised against some contestants including Mohamed Dewji in Singida Urban Constituency CCM and Dr Hamis Kigwangala, who is contesting for Nzega in Tabora and Freeman Mbowe for Hai Constituency through Chadema, have been abandoned.
Pingamizi alilowekewa limeonekana halina ushahidi na hivyo kutupwa toka majuzi (nadhani) huko jimboni
Mapingamizi mengine ni yakipumbavu. Hivi hao wanaokaa mpaka wanaingiza ishu za TRA kwenye moja ya kuwa sababu za mapingamizi wana akili kweli? Wameachwa mafisadi walioiba na kutumia madaraka vibaya. Ama kweli vioja mwaka huu tutaviona".PHP:Hizo ni habari za Biashara!! Kama hotel ina deni, si inapigwa mnada?? Haya yamekujaje?? Ila kwa taarifa za kuaminika hili pingamizi limeshajibiwa na kupigwa chini. Mbowe ni mgombea halali wa ubunge kupitia Chadema! Soma gazeti la Mwananchi Augost 22, jana kuna majibu ya NEC front page "NEC yatupa pingamizi la Mbowe, Kingwangala