mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,049
- 4,904
Baraza la wanawake mkoa wa Mbeya , limetishia kuhamasisha maandamano ya wanawake nchi nzima kulishinikiza bunge kuwaondoa Bungeni, wabunge 19 wa viti maalumu wanaodaiwa kutokana na CHADEMA, wakidai uwepo wao Bungeni ni kinyume Cha katiba.
Akizungumza leo katika ofisi za CHADEMA jijini Mbeya , baada ya mkutano, mwenykiti wa BAWACHA mkoani humo, Bi. Elizabeth mwakimomo amesema (nanukuu) ;
"Tunaomba Mh. Raisi Samia Hassan aangalie kwa macho mawili , Ndugai anatakiwa kujiuzuru, Tulia Akson aombe radhi mbele ya watanzania, Kama haya hayatafanyiwa kazi, Tutaandamana nchi nzima, tutawashawishi, tutaenda mpaka Dodoma kuhakikisha wale wabunge wanatoka ndani ya Bunge.
Source : ITV
Akizungumza leo katika ofisi za CHADEMA jijini Mbeya , baada ya mkutano, mwenykiti wa BAWACHA mkoani humo, Bi. Elizabeth mwakimomo amesema (nanukuu) ;
"Tunaomba Mh. Raisi Samia Hassan aangalie kwa macho mawili , Ndugai anatakiwa kujiuzuru, Tulia Akson aombe radhi mbele ya watanzania, Kama haya hayatafanyiwa kazi, Tutaandamana nchi nzima, tutawashawishi, tutaenda mpaka Dodoma kuhakikisha wale wabunge wanatoka ndani ya Bunge.
Source : ITV