Mbowe atangaza maandamano nchi nzima

Mbowe atangaza maandamano nchi nzima

Malolella

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2012
Posts
366
Reaction score
114
Hayo ameyasema ktk mkutano uliofanyika viwanja vya barafu mkoani Dodoma wakati akiwatambulisha wabunge wapya watakaoapishwa kesho. Akitoa kauli hiyo iliyoungwa mkono na maelfu ya wakazi wa Dom waliohudhuria mkutano huo amesema maandamano yataanzia Shinyanga, mwanza, Tabora, Dodoma, Arusha na mikoa mingine. Amesema nanukuu "hii mijamaa bila maandamano haisikii". Amesema tutafanya uasi kwasababu tunazo sababu za kufanya uasi.
 
Hayo ameyasema ktk mkutano uliofanyika viwanja vya barafu mkoani Dodoma wakati akiwatambulisha wabunge wapya watakaoapishwa kesho. Akitoa kauli hiyo iliyoungwa mkono na maelfu ya wakazi wa Dom waliohudhuria mkutano huo amesema maandamano yataanzia Shinyanga, mwanza, Tabora, Dodoma, Arusha na mikoa mingine. Amesema nanukuu "hii mijamaa bila maandamano haisikii". Amesema tutafanya uasi kwasababu tunazo sababu za kufanya uasi.
Kufanya maandamano si uasi ni haki ya kikatiba. Ni nini hasa dhamira ya hayo maandamano aliyoyatangaza Mh. Mbowe?. Tujuze kwa hilo.
 
maandamano yanahusu nn mpaka yawe ya nchi nzima?, kama ni kauli ya mbowe
 
Kwahyo maandamano ni uasi? na maandamano hayo ni ya nini sasa? ila nakushauri before kundika anything here, try to have enough information....!
 
Hayo ameyasema ktk mkutano uliofanyika viwanja vya barafu mkoani Dodoma wakati akiwatambulisha wabunge wapya watakaoapishwa kesho. Akitoa kauli hiyo iliyoungwa mkono na maelfu ya wakazi wa Dom waliohudhuria mkutano huo amesema maandamano yataanzia Shinyanga, mwanza, Tabora, Dodoma, Arusha na mikoa mingine. Amesema nanukuu "hii mijamaa bila maandamano haisikii". Amesema tutafanya uasi kwasababu tunazo sababu za kufanya uasi.
.
Kufanya uasi tena,mbona sijaelewa hapo? maana uasi ninao ujua mimi ni wa ama wa kujitenga na kutaka kuanzisha eneo la utawala na ama kutaka kuipundua serikali na kujitwalia madaraka kwa njia ya mapambano/vita.Sasa labda mdau utusaidie kufafanua ni uasi gani huo aliouzungumzia mh.Mbowe? kama ni suala la kuandamana nchi nzima kwangu huo sio uasi, bali ni utaraibu wa kawaida tu katika nchi zinazojali demokrasia ili wahusika waweze kufikisha ujumbe wanoataka kuufikisha kwa jamii husika.Ufafanuzi tafadhali!!!
 
What the hell is this. Kumpeleka mwanao shule ni jambo zuri sana. Hizi vurugu za maandamano kila siku zinatokana na watu kukosa shule ya kutosha. Mbowe, tunakuheshimu sana, usiwe chanzo cha kuleta machafuko hapa nchini.
 
Nyie mnaojifanya wasomi hamtaki maandamano ya Amani mmewahi kufanya nini na huo usomi wenu,msipende kukandamiza mawazo ya watu kama unaona haifai funga mdomo wako kaa na ajanja wako waache watu na ujinga wao.
 
Dhumuni la hayo maandamano ni nini kama ni uasi tujue moja.
 
kaka funguka tuwe tayari huku Mwanza ametangaza kisa cha maandamano nini tujuze vizuri?
 
What the hell is this. Kumpeleka mwanao shule ni jambo zuri sana. Hizi vurugu za maandamano kila siku zinatokana na watu kukosa shule ya kutosha. Mbowe, tunakuheshimu sana, usiwe chanzo cha kuleta machafuko hapa nchini.

Kunya anye kuku akinya bata kaharisha! kwani machafuko yanayofanyika wewe huyaoni? Yaani kila kukicha afadhali ya jana!
 
akihutubia katika uwanja wa barafu dodoma, mwenyekiti wa chama cha cdm amesema atakuwa muasi wa kwanza Tanzania kwa kile alichodai kuonewa na serikali ya ccm kufuatia kitendo cha kucharangwa mapanga kwa wabunge wawili wa cdm mbele ya askari polisi waliokuwa na smg!
 
Bado kidogo tu watanzania wote kufunguka
 
elimu izidi kuwafikia wa vijijini zaidi wataamka
 
safi sana

magamba yameaanza kupanick

mpaka mkome kuiba pesa za watanzania
 
Back
Top Bottom