charityboy
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 138
- 4
Hatimaye maadui wawili wamepangwa kamati moja ya bunge ya fedha na uchumi. Nina wasiwasi HAMAD RASHID kwa uzoefu wake bungeni atam-buruza mhe. mbowe katika maamuzi.
Hatimaye maadui wawili wamepangwa kamati moja ya bunge ya fedha na uchumi. Nina wasiwasi HAMAD RASHID kwa uzoefu wake bungeni atam-buruza mhe. mbowe katika maamuzi.
Hatimaye maadui wawili wamepangwa kamati moja ya bunge ya fedha na uchumi. Nina wasiwasi HAMAD RASHID kwa uzoefu wake bungeni atam-buruza mhe. mbowe katika maamuzi.
Duh,hiyo hapo juu ni picha ya Mbowe?mbona kama wanafanana?
Duh,hiyo hapo juu ni picha ya Mbowe?mbona kama wanafanana?
Duh,hiyo hapo juu ni picha ya Mbowe?mbona kama wanafanana?
umekosa adabu, siku nyingi Mods wakupige japo BAN la mwezi mmoja utatia akili, maana sio kila thread uchangie
Crap:hungry:
mbowe ni kichwa sana na hana njaa ila hamad rashid pamoja na uwezo wake mdogo wa kufikiri njaa pia inayumbisha maamuzi yakeOhoooo, naona Mbowe hafahamiki kabisa, Labda nitoe Hint kwamba, katika watu ambao vichwa vyao vinafanya kazi harakaharaka na kwa umakini sana katika Bunge la sasa ni Freeman Mbowe.
Vuteni Subira.
Ohoooo, naona Mbowe hafahamiki kabisa, Labda nitoe Hint kwamba, katika watu ambao vichwa vyao vinafanya kazi harakaharaka na kwa umakini sana katika Bunge la sasa ni Freeman Mbowe.
Vuteni Subira.
Hivi Mbowe ana ugomvi gani na Hamad? Kwa nini tuna anza kutoa hisia za kuwezana? Wanawezana kwa lipi? Bungeni wameenda kutetea maslahi ya watu wao waliowachagua na taifa kwa ujumla. Mbowe anachaguliwa na watu wa Hai wakati Hamad anachaguliwa na watu wa nchi jirani ya Zanzibar. Wananchi wa Zanzibar wanamatatizo na kero tofauti sana na watu wa Hai - Sasa ugomvi wao au kuwezana kwao kunatoka wapi? Mbowe anatakiwa awasilishe matatizo ya Taifa lake la Tanganyika na Hamadi anatakiwa awasilishe taifa lake la Zanzibar .... sasa mbona hakuna mahali wana maslahi ya aina moja? Je, wamesahau kilichowapeleka Bungeni???????
Sioni mantiki ya hii topic..... sioni kabisa.
Hivi, hawa waheshimiwa wamekwenda bungeni kushindana?ndugu zangu msijidanganye. Huwezi kumfananisha Mbowe na hamad kwa chochote kile uzoefu, utendaji na hata akili.
Hamad ni kichwa jamani sio kama Mbowe yeye ni wa kuunga unga tu.
Mimi nasema kama Mbowe ni kichuguu basi Hamadi ni Mlima tena mrefu kuliko Kilimanjaro.
Ila Mbowe ana wapiga debe wengi. Tutaona hapo bungeni nani zaidi
Kumbe bado tu hujapona kale kaugonjwa kako ehh mh daktari?ndugu zangu msijidanganye. Huwezi kumfananisha Mbowe na hamad kwa chochote kile uzoefu, utendaji na hata akili.
Hamad ni kichwa jamani sio kama Mbowe yeye ni wa kuunga unga tu.
Mimi nasema kama Mbowe ni kichuguu basi Hamadi ni Mlima tena mrefu kuliko Kilimanjaro.
Ila Mbowe ana wapiga debe wengi. Tutaona hapo bungeni nani zaidi