Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 872
Hatimaye maadui wawili wamepangwa kamati moja ya bunge ya fedha na uchumi. Nina wasiwasi HAMAD RASHID kwa uzoefu wake bungeni atam-buruza mhe. mbowe katika maamuzi.
hAPANA HAWEZI.YUPO NGANGARI