Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Mbowe ni kiongozi mahiri saaana! CCM hawezi kumpata kiongozi kama huyu, baada ya Nyerere Tanzania, Mbowe is the next prominent contemporary leader! Ukweli ndo huo, watu wakubali au wakatae!Ni mmoja wa Watz wachache sana aliyesimama na kuamua kuwatetea wanyonge wasio sikilizwa kwa miaka mingi, pia atakumbwa kwa kuongaza chama cha upinzani mpaka kufikia hatua ya kuwa na nguvu kubwa ya kuingia Ikulu! Sasa jaribu wewe kufuata nyayo zake kama utafika popote zaidi ya kuishia kama Mapalala, Lamwai au Kaborou!!