Mbowe atajwa sakata la TANESCO

Mbowe atajwa sakata la TANESCO

Mbona magamba mnajisumbua koz kila mwaka vijana tunazidi kuongezeka na 2015 mkichakachua kwa ballot box sisi 2takinukisha kwa kama misri ili 2jue 1 koz tumechoka kuongozwa na watu ambao hawana Mungu.
 
quote_icon.png
By tamuchungu

HUYU JAMAA ALISOMA MPAKA KIDATO CHA NNE, BAADA YA HAPO AKAJIENDELEZA NA MASOMO YA U _DJ HUKO UK. NAPENDA KUWATAARIFU KUWA HANA ELIMU NYINGINE YEYOTE ZAIDI YA HIYO



Usiwe mjinga ina maana he is very intelligent basi if he has managed to get that far in all respects. Ole wako unayechimba mambo ya watu. Yeye atakumbukwa kwa kazi kubwa na nzuri sana ya kuonyesha matumaini kwa watanzania kuelekea kwenye utawala bora hata kama CDM haitachukua nchi which is very unlikely though. CCM has been terribly challenged and that is a BIG UP!!! Wewe utakumbukwa kwa lipi? Usiwe mbeya :baby:
 
SIoni tatizo halmashauri ikinunua mtambo ambao tanesco wameshindwa kuuendesha. kwanza uzalishaji wa umeme mdogo wangeachiwa serikali za mitaa. Serikali kuu ishughulikie miradi mikubwa kama Stigler Gorge. SIo kupiga kelele na miradi wa megawatt 50
 
​kikwete ana elimu gani hata interviw ya english anajinyea
HUYU JAMAA ALISOMA MPAKA KIDATO CHA NNE, BAADA YA HAPO AKAJIENDELEZA NA MASOMO YA U _DJ HUKO UK. NAPENDA KUWATAARIFU KUWA HANA ELIMU NYINGINE YEYOTE ZAIDI YA HIYO

 
SIoni tatizo halmashauri ikinunua mtambo ambao tanesco wameshindwa kuuendesha. kwanza uzalishaji wa umeme mdogo wangeachiwa serikali za mitaa. Serikali kuu ishughulikie miradi mikubwa kama Stigler Gorge. SIo kupiga kelele na miradi wa megawatt 50
Kwa pesa zipi?
 
bunge la tanzania

______________
majadiliano ya bunge

_____________

mkutano wa nne

kikao cha arobaini na sita – tarehe 13agosti, 2011


(mkutano ulianza saa tatu asubuhi)

dua


spika (
mhe. Anne s. Makinda) alisoma dua



mhe. Freeman a. Mbowe:
mheshimiwa spika, kikuletwa power station – kijiji cha chemka,kata ya masama rundugai - wilaya ya hai, inayomilikiwa na tanesco imefungwa siku nyingi na mali zake zikiwemo nyumba, ardhi, mashine na miundombinu ziko katika hali mbaya. Nahitaji kujua ni lini station hii itafunguliwa/kufufuliwa. Aidha, ni vipi uwezekano wa station hii kukabidhiwa halmashauri ya wilaya ya hai kwa ajili ya kuendelezwa/kufufuliwa kwa kushirikiana na rea?

mheshimiwa spika, umeme wilaya ya hai. Miradi ya wilaya hii imekwama katika hatua mbalimbali. Bajeti ya wizara haionyeshi fungu lolote kwa mradi wowote wa wilaya ya hai. Miradi iliyo katikati itafanywaje? Miradi ambayo haijaanza itaanza lini? Miradi ya wilaya ya hai ambayo imekwama ni kama ifuatavyo:-
(a) miradi ya umeme iliyofika nusu.
(i) losaa kitongoji cha mungu amaye - mradi unaendelea, nguzo tayari zimewekwa bado waya.
(ii) bomang’ombe – kingereka - mradi unaendelea, nguzo ndogo 60 pamoja na transfoma mpya tayari bado waya.
(iii) fiderisi - nguzo 17 zimewekwa, mradi unaendelea bado waya.
(iv) masama mashariki – monjulu - mradi mdogo nguzo 30, bado waya.
(v) kware korongoni - nguzo 30 zimewekwa, mradi unaendelea bado waya.
(vi) kawaya - nguzo 12 tayari zimewekwa, mradi unaendelea bado waya.
(vii) bomang’ombe uzunguni - nguzo 17 zimeshapelekwa bado hazijasimamishwa, bado waya.
(viii) mroma – ufishi - nguzo 10 zimewekwa, mradi unaendeleam bado waya.
(ix) kitifu – kwa sadala - nguzo 24 tayari mradi unaendelea bado waya.
(x) tema – masama mashariki - nguzo 28 tayari, mradi unaendelea bado waya.
(xi) lemira kati - nguzo 19 tayari mradi unaendelea, bado waya.
(b) miradi ya tanesco iliyo kwenye mpango
(i) machame ndernyi a – nguzo 10 pamoja na waya na transifoma.
(ii) machame ndernyi b - nguzo 10 pamoja na waya.
(iii) uswaa – mbweera - nguzo 24 na waya.
(iv) kia junction - nguzo 15 na waya.
(v) kwa sadala - nguzo 24 na waya.
(vi) bomang’ombe gezaulole - nguzo 12 na waya.
(c) miradi iliyokwama kupitishwa kutokana na tanesco kushindwa kumudu gharama
(i) lemira – isuki – kirumbiu - nguzo 40, transfoma moja na waya.
(ii) tema juu - transfoma moja ipo nguzo na waya bado.
(iii) uboro - nguzo 30, transfoma na waya.
(iv) mbosho parish - nguzo 60 zilihitajika zimepelekwa nguzo 30 na waya, bado nguzo 30 na waya.
(v) bomang’ombe – magadini - nguzo 40 transfoma moja na waya.
(vi) kwa somali - nguzo 30 transfoma moja na waya.
(vii) mungushi – kambi ya maziwa kuelekea sanya juu - nguzo 40 transfoma moja na waya.
(viii) chemka – ngulu - nguzo 30 na waya.
(ix) longoi – nguzo nne - nguzo 70 transfoma na waya.
(x) ngosero - nguzo 80 transfoma na waya.12
(xi) bomang’ore kwa kiriwe - nguzo 60 transfoma na waya.
(xii) roo secondary - nguzo 40 transfoma na waya.
(xiii) mashua - nguzo 60 na waya.
Mheshimiwa spika, maeneo mengi yenye miundombinu ya umeme sasa imechakaa sana na nyaya za umeme nyingi ni wazi (yaani haziko
insulated) na kwa hali ya uoto wa sehemu za milimani nyaya hizi hupita katikati ya migomba na miti. Mimea hii sehemu nyingine husababisha


short circuit
na hivyo kuongeza tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara. Aidha, mara

kadhaa nyaya hizi zimesababisha vifo au majeraha makubwa kwa wananchi. Ni lini tanesco
itaanza ukarabati wa miundombinu hii?

mhe. Magdalena h. Sakaya:
haya, hapa umefunga kazi. Nani mwenye umbea wa ziada?
 
Mbowe is a charismatic, visionary and optimist leader.
 
Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni Freeman Mbowe ametajwa kuwa katikamazungumzo na Tanesco ya kuuziwa mtambo wa kufua umeme unaoitwa KIKULETWA ulioko hai, Ili baada ya kununua aweze tena kuizia umeme Tanesco, Hata hivyo mbowe hakupatika kuthibitisha hilo lakini John mrema mkurugenzi wa Chadema Sera na Bunge amesema si kweli kuwa Mbowe alitaka kununua bali halimashauri ya hai ndiyo wapo kwenye mpango huo na Mbowe kama mbunge alikuwa akifanikisha hilo.
Gazeti la Raiamwema la Leo.
jamani mbona wote wanaopinga ni watu wa jazba, (Bata ndiyo aharishe peke yake, akiharisha kuku aaaaa)
hapa mtoa mada kasema kweli alivyosoma mitusi ya kitoto ya nini mnapanic?
hajasema gazeti la Rai (Rostam) kasema Raia Mwema la Ulimwengu na Mhariri Dilunga, mbona walivyoandika mada za madaktari waula humu JF mmechangia kwa mbwembwe tena mwandishi kadanganya eti wamepewa kazi nje (bila ya passport eti waziri wa afya kazungumza nao wapi?)
mada ipo uk wa 2 wa raia Mwema la j5 heading Akaunti ya kigogo Tanesco yazuiwa. Humo "Wabunge nao watajwa" ndio kuna ishu ya Kiongozi wa kambi ya upinzani Freeman Mbowe naye anadaiwa kuwa na maslahi na uongozi uliosimamishwa wa Tanesco
sasa matusi ya nini?
 
hivyo ni kweli chadema na watu wake wote wako safi? Kwa sababu kila kinachoelezwa kuhusu cdm watu humu ndani wanaandamana kwa maneno makali.mi nnachokiamini ktk maisha kukosea kupo na ndio maana tukaambiwa hakuna aliyekamilika.ila unapokuja ktk hoja za cdm ni hatari kwa utetezi.ccm wanaharibu na cdm pia wanaharibu baadhi ya mambo wanayoyafanya ila tu ccm inaonekana kwa sababu ndio imeshika nchi.kumbukeni hata gadaffi alikua poa ila baadhi ya wananchi wake wakamwona shetani.mi nadhani kwenye ukweli tukili.sio kwa hili ila hata ikitokea pa kusema kweli tuseme na ndio tutajenga nchi yetu vzur.mungu ibariki tz na watu wake.

angalau cdm wanaweza kujitetea kama tuhuma zitakuwepo, ila ccm mnajiteteaje? Inaonekana we mwoga wa mabadiliko, we tulia utafikishwa tu kwenye mabadiliko
 
Mbowe ni kiongozi mahiri saaana! CCM hawezi kumpata kiongozi kama huyu, baada ya Nyerere Tanzania, Mbowe is the next prominent contemporary leader! Ukweli ndo huo, watu wakubali au wakatae!

Hakuna kitu kama hicho huwezi kumfananisha Mbowe na Nyerere,Mbowe ni Kilaza,chadema imejengwa na kupatishwa umaarufu na watu wawili tu Mh Zitto na Dr Slaa kipindi 2005-2010 walijitahidi sana kufanya siasa safi zenye uwazi na ukweli na wala hawakuwa na fujo walikuwa wachache bungeni lakini hoja zao zilikuwa na mashiko sasa ebu angalia chadema ya leo wako wengi bungeni lakini hoja zao ni dhaifu kila kukicha na mwenyekiti akiwemo bungeni wewe fuatilia hoja zao hakuna kitu ila hoja za Mh Zito bungeni huwa zinasisimua tumeona kuhusu Posho,tumeona kuhusu kuvunjwa kwa baraza la mawaziri na sasa tunaona kuhusu Tanesco,kama chadema ingekuwa na vichwa kumi kama Mh Zito nchi ingezizima lakini imejawa na wabunge wengi vilaza uwezo wao huwezi fananisha na Mh Zito,toka Mbowe ameingia bungeni chadema imekuwa ya hovyo mwanzo mwisho huwezi fananisha chadema ile iliyokuwa na Mh Zito na Dr Slaa bungeni,chadema ya sasa imejaza vilaza bungeni vikiongozwa na Mwenyekiti wao!
 
Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni Freeman Mbowe ametajwa kuwa katikamazungumzo na Tanesco ya kuuziwa mtambo wa kufua umeme unaoitwa KIKULETWA ulioko hai, Ili baada ya kununua aweze tena kuizia umeme Tanesco, Hata hivyo mbowe hakupatika kuthibitisha hilo lakini John mrema mkurugenzi wa Chadema Sera na Bunge amesema si kweli kuwa Mbowe alitaka kununua bali halimashauri ya hai ndiyo wapo kwenye mpango huo na Mbowe kama mbunge alikuwa akifanikisha hilo.
Gazeti la Raiamwema la Leo.

Mkuu ukisoma hilo gazeti unaweza kuona huyu mwandishi ni mbabaishaji. Ameona Mbowe hana madhara kamtaja haraka, lakini aliosema vigogo wengine ameshindwa kuwataja. Ningemuona wa maana angewataja wote. Hata hivyo Mbowe hana nia mbaya kwani lengo lake ni kuisadia halmashauri ya Hai kununua mtambo huo. Ila uandishi wa namna ya mwandishi huyo ni kuchoka kifikra
 
Back
Top Bottom