'WaChagga kwa pesa' ina maana kabila nyingine wote hawatafuti pesa? Wabunge waliotetea kuendelea kulipwa posho na wengine kudai iongezwe wote ni waChagga?! I bet you look exactly like your avatar...because that face really suits you!
Thanks Riwa! kweli kabisa huwezi kusema kabila fulani linapenda pesa as if makabila mengine ukiwapa pesa wanakataa this is bullshit!!!kwanini basi makabila yote yanafanya kazi basi wangewaacha wachaga wafanye kazi wao walale home wafe na njaa! Alichokifanya mbowe haina relationship na ukabila, at least yeye amerudisha hilo shangingi, mind you CCM hawawezi kukubali kuwa defeated kirahisi so lzm watafute sehemu ya kumcorner ili waonyeshe umma mbowe ni muongo!! huyo jamaa anayekimbilia kuponda mambo ya ukabila ana narrow thinking