MpigaFilimbi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,169
- 182
Tuna tatizo pia la kuchanganua mambo, kuna watu wanasubiri mpaka wapewe kauli na CCM ndio waseme!! Hoja ya msingi inaeleweka, kupunguzama gharama, na yeye amependekeza mojawapo ni hiyo, badala ya kuukubali ukweli huo na kuujadili kwa maslahi ya Taifa watu wanaanza kuzungumzia mil.2 za kuendesha ofisi, what a shame!!