Kama ule wa BalaliSasa hivi ndio vichekesho vyenyewe, msiba wa nani unaomfanya mtu aondoke kimya kimya
Kama ule wa BalaliSasa hivi ndio vichekesho vyenyewe, msiba wa nani unaomfanya mtu aondoke kimya kimya
kutokujari kwako ndio umasikini wako CHADEMA imeuzwaaaaaa
Eti Nonda anasema yupo msibaniHivi Mbowe yuko wapi??maana ameondoka ghafla tu!
Freedom is so close now, time will tell keep on dreaming
UKAWA kelele nyingi tu suburi oct wapigwe ile 619 teh teh ..watakaa tu
Uongo km huu hata watoto walio ktk daipa hawawezi kukubali.
Eti DMV na hotel ipo Ohio ?? Mnadhiirisha Hali ni mbaya sana kwenu...
Cha kuchekesha, wengi mmejiunga from July 2015..!!