Msal
JF-Expert Member
- Aug 18, 2015
- 218
- 67
Hata Magufuli mwenyewe anatamani kuhamia UKAWA sema tu ndio hivyo tena keshapewa kibarua na Lord Lofa?
Mhh, wapii, ahamie UKAWA wakati panavuja hapalaliki, mguu pande 24 hours
Hata Magufuli mwenyewe anatamani kuhamia UKAWA sema tu ndio hivyo tena keshapewa kibarua na Lord Lofa?
Huyu aliyeandika thread hii anaumwa kiharusi, mpuuzeni hatufai anatupotezea muda.
Lowassa kwisha kazi yake.
Sasa hivi anajikaza kisabuni tu, anateketea huko anatoa povu.
Mbowe kishapiga zake na anafikri Slaa kalamba anakwenda akachukuwe mgao wake kutoka kwa Slaa au akadai madeni yake.
Cheza na Mchagga!
Mbowe yupo Marekani?
Kwa hiyo mgonjwa ni mtu wa kupuuzwa tuu!
Wewe ni mbogo. Kiwanda cha nini vile?Baada ya mwenendo wa Kampeni kuonekana kuwa mgumu huku kila alichoahidi Lowassa kutotimia mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe aamua kukutana na aliyekuwa katibu wake Dkt. Wilbroad Slaa nchini Marekani.
Taarifa za uhakika ni kuwa Mbowe aliondoka nchini toka juzi na kupokelewa na wanachama wa Chadema tawi la DMV aliposhuka Uwanja wa Kimataifa wa Dulles huko Marekani ambapo Dkt. Slaa alimtangulia muda kidogo.
Taarifa zilizopatikana toka kwa moja ya viongozi wa tawi hilo aliyejulikana kama Kalley Pandukizi amesema ni kweli Mbowe na Slaa tumewapokea na wapo hoteli moja hapa Ohio kwa ajili ya mazungumzo binafsi. Amekiri baada ya kumpokea Mwenyekiti wao Mh. Mbowe walimpeleka moja kwa moja hotelini ambapo ndipo walipomkuta Dkt. Slaa.
....
Walisahau Majuto ni mjukuu huja baadae!!
Wanaukumbi.
Taharuki imekikumba chama cha mapinduzi huku tathmini yao ya kambi ikiwalegeza na kuonyesha kuwa Lowassa atashinda mpaka kuwaangukia mawaziri wakuu Cleopa Msuya na Salim Ahmed kujiunga na wagombea wao.
Wengine waliofatwa ni komandoo Salmin Amour na Mark Mwandosya.
Taarifa za uhakika toka lumumba zinaeleza kuwa kuandaa mkutano mmoja ni 'gharama kubwa' kitendo kinachotoa tathmini ya kuachwa mbali na UKAWA.
Taarifa imeonya tabia ya waliotangulia ktk timu ya mgombea kuwa makini na kauli zao kwani ndizo zinazomjenga Lowassa.
Magufuli anazunguka ktk kampeni na wasanii ambao huwaaza watu uwanjani ndio maana burudani huwa mwisho wa mkutano.
Ccm kwa mwaka huu watashindwa vibaya.
Msuya na Salim kukinusuru chama cha mapinduzi..
Hivi Mbowe yuko wapi??maana ameondoka ghafla tu!
[h=3]Raia Mwema - 'Mafuriko' ya Lowassa[/h]www.raiamwema.co.tz/mafuriko-ya-lowassa
Translate this page
Jul 1, 2015 - KAMBI ya Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, imejigamba kutimiza idadi ya wadhamini 879,000 nchini kote, wakati wa mchakato wa ...
huko TISS hamna kazi? si mcheze tu hata game ya Solitaire kwenye laptop zenu kuliko kuandika gossip
Egnecious
Hii kitu umeandika hapa, inachekesha sana. Vizuri ipeleke jukwaa la utani.
Egnecious
Hii kitu umeandika hapa, inachekesha sana. Vizuri ipeleke jukwaa la utani.