MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,085
- 35,400
Haya Dada nenda Lumumba kachukue hela ya kula mchana huu maana naona njaa inakuuma.
Hamkawii kupanic
Haya Dada nenda Lumumba kachukue hela ya kula mchana huu maana naona njaa inakuuma.
Hiyo ndo hali halisi Kwa sasa inayoikumba chadema
Bahati nzuri kama siyo mbaya kila mbinu mnazileta watunazijua yaani hata Aondoke huyo mbowe na wengine wengi Bado Lowasa ndiyo rais wa nchi Mwaka 2015 na kuendelea.
Watu wengine kwa kuchafua hewa hawajambo. Maccm mtaabika sana wiki ya tatu mwezi ujao.
ha ha Lumumba bwana, nashauri baada ya uchaguzi CCM ifungue magazeti ya udaku na story kama za shigongo hivi vipaji visipotee bure.
Tumekusikia....
Duh ccm mnhangaika sana ila lowasa ambae mnamwitaa dhoofu sana ndo rais wetu hata atambae jukwaani ntampigia kura yangu tu
Hivi Mbowe yuko wapi??maana ameondoka ghafla tu!Propaganda as usual