Ila vijana wa maccm na mabwenyenye wote, muache kuigeuza nchi yetu, taifa la watu waongo, mtu unaandika DMV, dulles airport alafu unasa vipo ohio ni uongo wa kijanga na hatari..ukawa lindeni kura tuondoe hawa watu..wananajisi nchi
Kwa hiyo unamaanisha ukimya wa Mbowe kuhusu zile 12bn kutoka kwa Lowassa unaashiria kuna chembechembe za ukweli ndaniyake?
Mnawakati mgumu mwakahuu
uongo uliosambaa wakanushwa kwa barua hii.
![]()