Wakikujibu nishitue.!Mbowe yupo wapi basi?
Wewe pia unafaa kuwa coordinator huko.Mimi naona egnecious apeleke hiyo kitu jukwaa la utani, ila wewe Nonda itabidi ukawe coordinator wa hilo jukwaa, huwezi comment namna hiyo, toa hoja!!
Kama haya yanayosemwa ni utani, tuambie Mbowe alipoenda, kiasi kwamba anamuacha mzee wa watu peke yake kwenye kampeni mpaka anashindwa kuhutubia, anaahirisha mikutano, yaani kila kitu kipo ovyo, Mbowe anaipeleka CDM pabaya
Nje kuteme mura! Kwa kweli dhamira ipo na Lowassa ni taasisi inayojiendesha.Bahati nzuri kama siyo mbaya kila mbinu mnazileta watunazijua yaani hata Aondoke huyo mbowe na wengine wengi Bado Lowasa ndiyo rais wa nchi Mwaka 2015 na kuendelea.
Wewe pia unafaa kuwa coordinator huko
Msibani.