athuman kezzo
Member
- Jul 11, 2015
- 35
- 9
jamaa amenukuu kila nukta utadhani kweli hii ndio inaitwa siasa za majitaka
Duh ccm mnhangaika sana ila lowasa ambae mnamwitaa dhoofu sana ndo rais wetu hata atambae jukwaani ntampigia kura yangu tu
Msiba wa KukuHata msiba wa kuku na wenyewe ni msiba, ameenda kwenye msiba wa nani?
Dah Mkuu Umenikumbusha Mbali,sijacheki Mieleka Siku Nyingi....Hivi Huyu Jamaa Raymysterio Bado Yupo??