Mbowe asalimu amri kwa Slaa

Mbowe asalimu amri kwa Slaa

Status
Not open for further replies.
Maelezo yako ni kama mtu ambaye hakuenda shule. Mlifikisha Mbowe hotelini na kabla ya mazungumzo yao kufanyika lakini wewe umeshakuwa na majibu tayari na kuyaweka hapa> Tafakari kabla ya kuandika.
 
Ukawa no zaidi ya mbowe na slaa,ukawa ni mamilioni ya watanzania wapenda mabadiliko.Kama mlidhani matumizi ya pesa yanaweza kuzika ndoto za Watanzania kuleta mabadiliko ya Kimfumo,mlijidanganya.Ni hivi,hata mvunje benki kwa kuwanunua wapambanaji wote,Umma wa Watanzania wapenda mabadiliko hautarudi nyuma,utasimama kidete kuhakikisha mkoloni mweusi anang'oka.
 
Mtanyooka tu! Kazi kwanza kwa mabadiliko Bora. Mchapakazi 0yeee
 
Anaefaa kuchunguzwa akili ni wewe wala sio mtu mwingine

mhariri utatoa had taarifa za kuzimu ila maamuz tayar yashafanyika mbowe na slaa hata wakutane angani huku lowasa kisha teka tafuta habar mpya
 
inauma sana...kutumia nguvu nyingi kutunga essay ndefu....kisha watu hata hawajari...
 
Ni kweli tangu Dk Slaa aondoke baadhi ya wafuasi wa CHADEMA asilia wamerudi nyuma.Ninavyoona kura watampa Magufuri.

Hata wakiondoka wote inabidi mapambano kuiondoa CCM yaendelee!
 
Oktoba 26 mjadala utakuwa wa kuheshimiana maana mtakuwa mmenyooooshwa na HAPA KAZI TU!!!!!!!!!!!!!!!!
 
naona mmepewa jukumu leo ni kuusambaza huu ujumbe mitandaoni
 
Vipi unapoandika uongo u napata raha sana yaaani Ulaya na ccm nani kapote za matumaini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom