Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Lowasa kawashika pabaya
Ile mbaya sana
Lowasa kawashika pabaya
wewe ulivocomment hapo umeelezea ilani ya chama gani?
Ni kweli tangu Dk Slaa aondoke baadhi ya wafuasi wa CHADEMA asilia wamerudi nyuma.Ninavyoona kura watampa Magufuri.
Kwa tamaa aliyonayo si rahisi akamwomba radhi DR slaa
Huyo aliyezusha ana stahili kichapo+ki..fi#$@ cha nguvu
Mods wanaiachia tu iwepo aise ngoja na sisi team ukawa Tuje na uzi wetu tuweke uone sekunde 5 nyingi ishatolewaHii thread bado ipo tu?
Too cheep to believe! Yawezekana kweli Mbowe kaenda Marekani na inawzekana kabisa akawa alienda kumwona Dr. Slaa na inawezekana kabisa kua ameenda kufanya nae mazungumzo but kusema kwamba eti wajitoe UKAWA au kampeni zimepooza, hilo unatudanganya mkuu, jamaa anatwanga hadi Chato we unazungumzia kupooza?