Mbowe asalimu amri kwa Slaa

Mbowe asalimu amri kwa Slaa

Status
Not open for further replies.
huyu jamaa ni kum.... kabixa tena atuache hizo propaganda zenu peleken huko huko mtuache cc na ukawa yetu mnajisumbua xana baada mnadi xera mnatuambia usenge lema xaxa cc ndo tushaipenda ukawa na kura zetu tutawapa hata mxeme nn.asante kwa kuandika utumbo wako kawaambie walio kutuma ukawa ni mpango wa mungu hakuna mwanadamu atakae tutenganisha

Hahaaaaaaa wape za uso hao.
 
Mtu Mwenyewe Lower Hasa,yupo Chini Sana Kwa Magufuli,sasa Labda Nikushauri Tu Wewe Na Wenzio #Mkapavoice Wakati Lubuva Anamtangaza Hon.John P Magufuli Kuwa Raisi Ambulance Iwepo Karibu Ya Kumbeba Lowassa Wenu Bila Kusahau Inabidi Wawepo Wakina Mama Watakaoweza Kumbembeleza Mama Regina Asipanic Sana.....

Kuweweseka ni ugonjwa mbaya sana kuliko tezi dume
 
Baada ya mwenendo wa Kampeni kuonekana kuwa mgumu huku kila alichoahidi Lowassa kutotimia mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe aamua kukutana na aliyekuwa katibu wake Dkt. Wilbroad Slaa nchini Marekani.

Taarifa za uhakika ni kuwa Mbowe aliondoka nchini toka juzi na kupokelewa na wanachama wa Chadema tawi la DMV aliposhuka Uwanja wa Kimataifa wa Dulles huko Marekani ambapo Dkt. Slaa alimtangulia muda kidogo.

Taarifa zilizopatikana toka kwa moja ya viongozi wa tawi hilo aliyejulikana kama Kalley Pandukizi amesema ni kweli Mbowe na Slaa tumewapokea na wapo hoteli moja hapa Ohio kwa ajili ya mazungumzo binafsi. Amekiri baada ya kumpokea Mwenyekiti wao Mh. Mbowe walimpeleka moja kwa moja hotelini ambapo ndipo walipomkuta Dkt. Slaa.

Tetesi zaidi zinasema Mbowe amemuomba msamaha sana Dkt. Slaa na kumueleza walipotoka kwani mgombea waliomchukua anadhoofika kiafya kila kukicha kiasi kwamba mikutano mingine wananchi hawamsikii anapohutubia vile vile hakuna hata moja alilotimiza katika makubaliano kabla hatujampokea zikiwemo fedha za kampeni hivyo chama kinapata wakati mgumu wa kufanya kampeni kikamilifu.

Inasemekana Mbowe amemueleza Slaa kuwa ujio wa Lowassa umeigharimu Chadema kwani mpaka sasa John Mnyika hajakubali kupanda majukwaani kumnadi Lowassa kitu ambacho ni tabu zaidi kwao. Pamoja na vijana wa Lowassa kuuteka mchakato mzima wa kampeni hali inayokiuka makubaliano tuliyompa.

Kikubwa ni kuwa taarifa za ujumbe mfupi toka kwa Bi. Helen Ongara ambaye ni katibu wa BAWACHA tawi hilo la DMV ni kuwa Mwenyekiti huyo amepoteza tumaini hasa alipowapa video ya Mgombea akiomba kura kwa kigezo cha ulutheri kimewagharimu zaidi hivyo amedai watapigana ili wapate viti vya ubunge ila urais watapoteza.

Hata hivyo aliwadokeza kuwa kampeni zinaratibiwa na Lissu lakini wanafikiria kuchukua maamuzi magumu ya kuwatosa UKAWA ili wabaki wao kama wao kuliko sasa ambapo wanavibeba vyama vya NCCR MAGEUZI, NLD na CUF. Ambapo hata hivyo hali ya mpasuko imeanza kuonekana kupitia vyama vya CUF na NCCR MAGEUZI.

Walisahau Majuto ni mjukuu huja baadae!!

Ndoto njema
 
Baada ya mwenendo wa Kampeni kuonekana kuwa mgumu huku kila alichoahidi Lowassa kutotimia mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe aamua kukutana na aliyekuwa katibu wake Dkt. Wilbroad Slaa nchini Marekani.

Taarifa za uhakika ni kuwa Mbowe aliondoka nchini toka juzi na kupokelewa na wanachama wa Chadema tawi la DMV aliposhuka Uwanja wa Kimataifa wa Dulles huko Marekani ambapo Dkt. Slaa alimtangulia muda kidogo.

Taarifa zilizopatikana toka kwa moja ya viongozi wa tawi hilo aliyejulikana kama Kalley Pandukizi amesema ni kweli Mbowe na Slaa tumewapokea na wapo hoteli moja hapa Ohio kwa ajili ya mazungumzo binafsi. Amekiri baada ya kumpokea Mwenyekiti wao Mh. Mbowe walimpeleka moja kwa moja hotelini ambapo ndipo walipomkuta Dkt. Slaa.

Tetesi zaidi zinasema Mbowe amemuomba msamaha sana Dkt. Slaa na kumueleza walipotoka kwani mgombea waliomchukua anadhoofika kiafya kila kukicha kiasi kwamba mikutano mingine wananchi hawamsikii anapohutubia vile vile hakuna hata moja alilotimiza katika makubaliano kabla hatujampokea zikiwemo fedha za kampeni hivyo chama kinapata wakati mgumu wa kufanya kampeni kikamilifu.

Inasemekana Mbowe amemueleza Slaa kuwa ujio wa Lowassa umeigharimu Chadema kwani mpaka sasa John Mnyika hajakubali kupanda majukwaani kumnadi Lowassa kitu ambacho ni tabu zaidi kwao. Pamoja na vijana wa Lowassa kuuteka mchakato mzima wa kampeni hali inayokiuka makubaliano tuliyompa.

Kikubwa ni kuwa taarifa za ujumbe mfupi toka kwa Bi. Helen Ongara ambaye ni katibu wa BAWACHA tawi hilo la DMV ni kuwa Mwenyekiti huyo amepoteza tumaini hasa alipowapa video ya Mgombea akiomba kura kwa kigezo cha ulutheri kimewagharimu zaidi hivyo amedai watapigana ili wapate viti vya ubunge ila urais watapoteza.

Hata hivyo aliwadokeza kuwa kampeni zinaratibiwa na Lissu lakini wanafikiria kuchukua maamuzi magumu ya kuwatosa UKAWA ili wabaki wao kama wao kuliko sasa ambapo wanavibeba vyama vya NCCR MAGEUZI, NLD na CUF. Ambapo hata hivyo hali ya mpasuko imeanza kuonekana kupitia vyama vya CUF na NCCR MAGEUZI.

Walisahau Majuto ni mjukuu huja baadae!!

Tanzania tuna mtaka lowassaaa lowassa jembe lowassaaa watu wote wana mtaka lowassaaaa lowassa jembe lowassaaaa!
 
Hivi huo mda ulioutumia kuandika hizo shudu ungeutumia kueleza walau kwa uchache ilani ya chama chenu, huoni kama ungeweza kukisaidia walau kidogo chama chako kulioko hii mbinu uliyoitumia ambayo badala ya kuichafua ukawa na chadema imeonyesha ni jinsi gani magamba mlivyo na uwezo mdogo wa kufikiri
 
Kiongozi wa Upinzani Nchini Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mh Freeman Mbowe amekanusha uvumi kuwa yuko Nje ya Nchi kwa ajili ya kufanya Mazungumzo na katibu Mkuu wa zamani wa Chadema Dk wilbroad slaa,

Moderator Msiuunganishe hii taarifa kwani imetoka kwenye vyanzo vya kuaminika.
 
Tayari ana ugulia maumivu huyo

Unajua napata burudani sana nikiona hawa jaa wanavyoweweseka. Ila ndo hakuna jinsi tena mana watz washaamua. Lowasa is our next president whether they like or not
 
Hivi huo mda ulioutumia kuandika hizo shudu ungeutumia kueleza walau kwa uchache ilani ya chama chenu, huoni kama ungeweza kukisaidia walau kidogo chama chako kulioko hii mbinu uliyoitumia ambayo badala ya kuichafua ukawa na chadema imeonyesha ni jinsi gani magamba mlivyo na uwezo mdogo wa kufikiri

wewe ulivocomment hapo umeelezea ilani ya chama gani?
 
Unajua napata burudani sana nikiona hawa jaa wanavyoweweseka. Ila ndo hakuna jinsi tena mana watz washaamua. Lowasa is our next president whether they like or not

Hiyo ndiyo halisi kamanda haiepukiki
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom