Mbowe asalimu amri kwa Lowassa

Kijana unapenda posho sana?..njoo huku mwanza nina hela kuwalipa wataodeki barabara.
Ukinihakikishia na wewe dada angu utakua umeinama unapiga deki, mi hata Posho sitaki ntapiga deki nyuma yako bureee dada angu
 
Ukinihakikishia na wewe dada angu utakua umeinama unapiga deki, mi hata Posho sitaki ntapiga deki nyuma yako bureee dada angu
Ndio akili za vijana wa chadema kama kamanda wa anga kujaza mahawara viti maalum.
 
Mada za kitoto,anyway jitahidi tu,sishangai mana JF umejiunga juzi tu mwezi wa pili,
 
Ulishawahi kumuona kubenea wakiongea au kusalimiana na EL?


Ikiwa hawawezi kuongea au kusalimiana sasa watafanyaje kazi? Ikizingatiwa kuwa nguzo kuu ya utendaji katika chama chochote ni Wabunge.
 
Wewe ndiyo msemaji mkuu wa Chadema?
 
Duh! Inaonekana EL kawaharibia sn mipango yenu. Bado mnaweweseka hadi sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…