VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,356
Hata kama sababu zote ulizosema hapo ni za kweli na ni kwamba anatafura umaarufu...., Lakini ukweli unabaki kuwa kwamba anaonyesha mfano wa kubana matumizi na kunusuru kodi zetu..., kwahiyo hata kama motive ni mbaya lakini alilofanya ni jambo zuri. Ningependa sana kama wabunge wote wangekuwa wapenda sifa na watafuta umaarufu ili nao wakatae huu ufujaji