VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,899
- 580
ili ni bunge la wananchi au bunge la maslahi ya wabunge wa ccm.
point ni kuokoa matumizi ya fedha ya umma hayo mengine sisi hayatuhusu
tunaangalia mtu anafanya nini sio porojo.
kama ni sheria mbaya kulipana mamilioni kwa nini wanashindwa kuibadilisha si walihiweka wao?
point ni kuokoa matumizi ya fedha ya umma hayo mengine sisi hayatuhusu
tunaangalia mtu anafanya nini sio porojo.
kama ni sheria mbaya kulipana mamilioni kwa nini wanashindwa kuibadilisha si walihiweka wao?