Mbowe arejesha Shangingi la Kiongozi wa Upinzani Bungeni

KWETU SISI WANANCHI WA KAWAIDA NDO TUNAAMINI KUWA chadema WANAMANISHA WANACHOKISEMA.
ENDELEENI NA SPEED HIYO HIYO SISI TUPO NYUMA YENU. ALUTA....................................
 
Heee Pinda ni waziri mkuu au mesenger wa JK?Waziri mkuu hana maamuzi kazi yake kulia lia tuuuKama waziri mkuu walirudisha je mbona asiwanyang'anye mawaziri na walio chini yakeWaziri mkuu kibogoyo ,,hahaaaa eti mtoto wa mkulimaCcm mnamtumia Pinda kusafisha njia ya kufanya ufisadi ....
amekataa VX anatumia GX V8 hapa ni sawa na daktari aseme una presha au BP
 
avatar25709_2.gif

hili ikirudishwa nalinunaaaaaa kwa mkopo

st.ivuga unaitaka machine nliyofanyia bukingi? Angalia angalia jingne ili nshalifungulia hadi saving a/c. Ntachukua mkopo nilimiliki,ila ntalipa kwa maisha yangu yote,mana mil200 si kchele!
 
Action can talk mor than words. Safi chadema ! Anayepinga maamuzi haya ya chadema awe anaiponda hata serikali kukubali hayo baadhi ya mapendekezo ya chadema ! Waambie mawaziri wako hamna akili kukubali mawazo yao chadema nyie c kila cha chadema hakifai! mnapishana hata na wakubwa wenu ! Bado kidogo watawaacha solemba watakapokubali kuicha nchi yetu waongeze chadema ! Mtabakia kushangaa aaaaa wamekubali ? Kama mnavyoshangaa mapendekezo yao wakajua mapendekezo yao hawakutumia akili ila chadema wamelonga ! !
 
Hana lolote Mbowe amekopa Milioni 200 za posho na Lema kachukua milioni 196 za posho,sasa hataki kusaini nini na bingo kesha lamba! Hilo gari rudisha kwa Katibu wa Bunge yeye atajua lipelekwe wapi huna lolote unajitafutia Umaarufu na sifa za Kijinga!
 
saafi sana makamanda wa chadema, wapelekeni hawa jamaa mchaka mchaka mpaka wajiondoe kwenya safari wenyewe. Mzigo wote huu wenye gharama kubwa anabebeshwa mwananchi ambae sasa hivi amebaki na ka-mlo kamoja tu kwa siku, tena kasiko na virutubisho.
Mungu wa mbinguni atawalinda na kuwalipa mema chadema, kwa kuwapunguzia mzigo masikini wa Tanzania.
.
 
Hamna ubunifu babuwee, vitendo vya kukataa gari kavianza Pinda. HeEeeeee! Ishakuwa sera kwenu?

Nitapata BAN hapa! Nilitaka ghafla ni kuambie wewe ni taahira na matusi makubwa teh teh teh teh nasepa.....Njoo jukwaa la wakubwa
 
Anatafuta uraisi 2015 kwa kila njia! Ameona Zitto kamzidi kete kwa kukataa posho! Anata na yeye aonekane bora
awazo yako siwezi kuyadharau....isipokuwa ningependa kukusaidia katika hili. Wanaotafuta umaarufu rahisi ni wale wanaojipendekeza kwa hali na mali. Chadema/Mbowe waliishajipatia umaarufu na sasa wanautuia vizuri. Kurudisha shangingi sio rahisi au unadhani ni shangingi mwanamke? Ni gari la kifahari.Chadema wapongezwe kwa uongozi wa vitendo kwani tumechoswa na maneno matamu. Hongera mbowe..hongera chadema
 
Back
Top Bottom