Mbowe apokelewa kishujaa Lindi

Mbowe apokelewa kishujaa Lindi

Ha ha Huwajui wana Mbeya hujaona Magufuli Ndebele zote aliziacha chato angewatukana madiwani na halmashauri au Sugu angepopotolewa mawe ndio maana ameufyata nadhani mwanzo mwisho jape wanafunzi walivyarishwa nguvu kuzuga l
Wewe ndio huwajui wanambeya ndugu yangu! Awatukane ili iwe nini ? Mbona mnajifikirisha mambo ambayo hayapo ? Ndio maana chadema wanawatumia na ajenda yao ya" wajinga ndio waliwao ", fanyeni kazi acheni kujifikirisha mambo yasiyo na tija.
 
Kila kitu hana uwezo kama bashite aibu ha ha
Mwenye uwezo nani ? Disco joker Mbowe?😅😅 pole sana , jiongeze kifikra japo kidogo utaelewa, eti mchezesha disco mbowe ndio anauwezo ? Acha masihara bana.
 
Wewe ndio huwajui wanambeya ndugu yangu! Awatukane ili iwe nini ? Mbona mnajifikirisha mambo ambayo hayapo ? Ndio maana chadema wanawatumia na ajenda yao ya" wajinga ndio waliwao ", fanyeni kazi acheni kujifikirisha mambo yasiyo na tija.
Si ndio zake Magufuli na matusi Mbeya asingethubutu
 
Mwenye uwezo nani ? Disco joker Mbowe?😅😅 pole sana , jiongeze kifikra japo kidogo utaelewa, eti mchezesha disco mbowe ndio anauwezo ? Acha masihara bana.
Bashite na Magufuli wanachezeshwa na disco jocker zero brains
 
Si ndio zake Magufuli na matusi Mbeya asingethubutu
Mlisema oh hawezi kufika mbeya , kafika na kupokelewa kwa kishindo na vigelegele na wanambeya wakiongozwa na raisi wa mbeya Sugu., sasa mnaanza kuzusha mengine oh anatukana ? Kamtukana nani ? Yakumzushia yamekwisha?
 
Mlisema oh hawezi kufika mbeya , kafika na kupokelewa kwa kishindo na vigelegele na wanambeya wakiongozwa na raisi wa mbeya Sugu., sasa mnaanza kuzusha mengine oh anatukana ? Kamtukana nani ? Yakumzushia yamekwisha?
Ha ha raisi tapeli kwa hiyo kuja Mbeya ni Hisani kweli nyie vichaa kabisa chato kwenda mara. Ngapi akumbuke kodi za wana Mbeya zinazompa suit na ugali anaokula
 
Ha ha raisi tapeli kwa hiyo kuja Mbeya ni Hisani kweli nyie vichaa kabisa chato kwenda mara. Ngapi akumbuke kodi za wana Mbeya zinazompa suit na ugali anaokula
Kichaa wewe sugu na mbowe wenu , mbowe anaenda hai mara ngapi ? Aje kila siku ili iwaje au hujui anawawakilishi wa kumuwakilisha ? Unaelewa maana ya serikali ? Unazijua kazi za uraisi ? Uraisi si kucheza disco , jitambue.
 
Kichaa wewe sugu na mbowe wenu , mbowe anaenda hai mara ngapi ? Aje kila siku ili iwaje au hujui anawawakilishi wa kumuwakilisha ? Unaelewa maana ya serikali ? Unazijua kazi za uraisi ? Uraisi si kucheza disco , jitambue.
Magufuli ni kichaa kama anavyojisema miaka minne alidhani Mbeya ni wajinga watasimamisha maisha kwa akili yake mshamba mkubwa kaja kawakuta a aondoke mikono mitupu hana jipya amewakuta wanaendelea na maisha na fedha kibao kuchangia Patonla taifa fedha unayomlisha Yeye na familia yake
 
Back
Top Bottom