Mbowe apokelewa kishujaa Lindi

Mbowe apokelewa kishujaa Lindi

RPC na RC hapo lazima wameshapigiwa simu ya I wish I kudu be RC&RPC of Lindi!!!
 
Kama sio kweli tuufanye uwanja uwe sawa tuone zomea zomea mpya. Wapinzani wamezuiwa kufanya shughuli zao lakini bado haruko huru tunajustukia mbele za watu.
Ulimwona Sugu pale ulijifunza nini
Tatizo ni kwamba kuna watu hawajui wanahitaji nini na wakati gani, wapinzani wanawatega na matatizo madogo ambayo kama mtu angefanya bidii angeweza kuyatatua mwenyewe, chadema imetega kwenye mtego wa wajinga ndio waliwao,
Sugu anamfagilia Magufuli kwa saaana.
 
Utakua chizi
nlijua ntakutana na mafuriko ya watu...Hawa watu hawaendani na ukubwa wa Chadema hata Kidogo acha kujifariji...Namba hiii ni ya A.C.T not Chadema...na kwa idadi hiyo niseme tu kua hiki ni kipimo halisi cha UFU wa chadema.
 
hata mtu mweusi kutawala marekan kuna walio mwanamin Martin Luther kuwa anaota mchana ila tiari ishakuwa..
Haya bana , tufanye ni ndoto za alfajiri , watu wameshaamka kwenda kwenye shughuli za kujipatia kipato na kujenga nchi wengine wanaota.
 
Tatizo ni kwamba kuna watu hawajui wanahitaji nini na wakati gani, wapinzani wanawatega na matatizo madogo ambayo kama mtu angefanya bidii angeweza kuyatatua mwenyewe, chadema imetega kwenye mtego wa wajinga ndio waliwao,
Sugu anamfagilia Magufuli kwa saaana.
Magufuli hana nyimbo zero kabisa amegeuzwa sana I watu wanaenda kushuhudia tapeli wa kisiasa anafanaaje
 
Haya bana , tufanye ni ndoto za alfajiri , watu wameshaamka kwenda kwenye shughuli za kujipatia kipato na kujenga nchi wengine wanaota.
Ha ha Magufuli kushindwa hata kutengeneza ajiandae tu
 
Haya bana , tufanye ni ndoto za alfajiri , watu wameshaamka kwenda kwenye shughuli za kujipatia kipato na kujenga nchi wengine wanaota.
ifke hatua tuamiani ktk usisi tunafanya kitu kwa ajiri ya maslah ya taifa leti na sio uwale watafanya, #tutafka tu hakika!
 
Magufuli hana nyimbo zero kabisa amegeuzwa sana I watu wanaenda kushuhudia tapeli wa kisiasa anafanaaje
Ha ha ha , du chadema chali kabisa , tumuulize raisi wa mbeya sugu , pamoja na mbunge wenu Lema alipotaka kuanguka kwa kukimbilia kumpa mkono Magufuli.
Magufuli namba nyingine kabisa huwezi kuisoma hovyo hovyo.
 
ifke hatua tuamiani ktk usisi tunafanya kitu kwa ajiri ya maslah ya taifa leti na sio uwale watafanya, #tutafka tu hakika!
Kiswahili ndugu , maneno hayaeleweki , jaribu kusawazisha ili kieleweke kilichoandikwa.
 
Ha ha ha , du chadema chali kabisa , tumuulize raisi wa mbeya sugu , pamoja na mbunge wenu Lema alipotaka kuanguka kwa kukimbilia kumpa mkono Magufuli.
Magufuli namba nyingine kabisa huwezi kuisoma hovyo hovyo.
Ha ha Huwajui wana Mbeya hujaona Magufuli Ngebe zote aliziacha chato angewatukana madiwani na halmashauri au Sugu angepopotolewa mawe ndio maana ameufyata nadhani mwanzo mwisho Hawezi kujitanuwa mbeya japo wanafunzi walivyarishwa nguvu kuzuga uwingi
 
Back
Top Bottom