Mbowe apokelewa kishujaa Lindi

Mbowe apokelewa kishujaa Lindi

Na bado muungano wa Chadema na ACT Wazalendo ya Maalim.
 
nlijua ntakutana na mafuriko ya watu...Hawa watu hawaendani na ukubwa wa Chadema hata Kidogo acha kujifariji...Namba hiii ni ya A.C.T not Chadema...na kwa idadi hiyo niseme tu kua hiki ni kipimo halisi cha UFU wa chadema.
Lumumba vijana wamepagawa ndio maana mkiambiwa mazwazwa mnajaa povu tulieni sindano iwaingie si mmezoea kudanganya mnakubalika bado huku kwetu kanda ya ziwa mbunge wa ccm akishinda kihalali hata mmoja mkatambike subirin 2020.
 
picha za zamani hizo, cheki za magu akiwa kaiteka mbeya na kyela kwa ujumla.
Tumia akili usitumie matako kama alivyowaambia marehemu wenu wa ccm huyo unayemuita magufuli alifanya mkutano wa ndani wap hapo mbeya ikapata picha zake, mtanyooka tu chadema kwa sasa sio kama vyama vingine na tunasubiri lissu kwa ham mpaka mav yatawagonga na mwenyekiti wako.
 
Back
Top Bottom