Mama huyu ataaibika vibaya sana.Polisi wenye silaha takribani 30 wamefika nyumbani Kwa M.Kiti Freeman Mbowe Mikocheni usiku wa saa 3 na dk 20 na wanataka kufanya upekuzi nyumbani, walipoulizwa kuhusu search warrant ,hawana na hawapo na M/Kiti Serikali ya Mtaa wanatishia kama hawatafunguliwa wanavunja mlango.
Ni wakati Sasa upinzani wawe na jeshi lao la kujihamiPolisi wenye silaha takribani 30 wamefika nyumbani Kwa M.Kiti Freeman Mbowe Mikocheni usiku wa saa 3 na dk 20 na wanataka kufanya upekuzi nyumbani, walipoulizwa kuhusu search warrant ,hawana na hawapo na M/Kiti Serikali ya Mtaa wanatishia kama hawatafunguliwa wanavunja mlango.
Tanzania kwa sasa ni nchi ambayo haina rais. Na kama tupo hajui wajibu wake wala ni kwa nini tupo pale.Polisi wenye silaha takribani 30 wamefika nyumbani Kwa M.Kiti Freeman Mbowe Mikocheni usiku wa saa 3 na dk 20 na wanataka kufanya upekuzi nyumbani, walipoulizwa kuhusu search warrant ,hawana na hawapo na M/Kiti Serikali ya Mtaa wanatishia kama hawatafunguliwa wanavunja mlango.
Maria sarungi spaces ndio nini mkuu?Dunia ni kijiji ndugu yangu, ingia Maria Sarungi Spaces watu wanadiscuss tukio la Mwanza live.
Teh teh teh aliwadekeza mkataka kumpanda kichwani mara mtatumia wembe ule ule Rais, anapiga spana mnaanza kulialia mnatia huruma.Nchi haina uongozi ni kama gari bovu tu
Nchi haina uongozi ni kama gari bovu tu