Mbowe anusurika kifo mara tatu


Mzimu wa CHACHA WANGWE naona bado unamwandama. na bado, maana imeandikwa auaye kwa panga na yeye atakufa kwa panga
 
Mbowe namakubali sana MUNGU amlinde mwenyekiti wangu viva chadema
 
kwani jaribio la kuuawa lina uhusiano gani na shughuli za kisiasa

Ndo uwe unasoma vizuri sasa. Alieleta uzi ameelezea kisiasa na ugumu uliopo kuwa mwanasiasa Afrika.
Mwingine akaja kusema Mbowe amedanganya eti amenusurika kuuawa na Ponda nae asemeje. Then followed my question. Soma kwa hatua.
 
sasa Mbowe anadanganya watu ili aonewe huruma? yeye kama amenusurika kufa Ponda naye atasemaje?

Tofautisha Ponda gaidi anaye lia lia na udini mwenye kuongoza kundi la wasio ona wala kusikia na Kamanda Mbowe ambaye anamtetea Ponda .
 
afe tuuuu, kwani ye nani??? wamekufa watu wa maana sembuse mjasiriamali wa siasa bana
 
Tofautisha Ponda gaidi anaye lia lia na udini mwenye kuongoza kundi la wasio ona wala kusikia na Kamanda Mbowe ambaye anamtetea Ponda .
gaidi ni lwakatare na henry kilewo ambao wanalisha watu sumu na kuwamwagia tindikali. walaaniwe milele
 
Ndo uwe unasoma vizuri sasa. Alieleta uzi ameelezea kisiasa na ugumu uliopo kuwa mwanasiasa Afrika.
Mwingine akaja kusema Mbowe amedanganya eti amenusurika kuuawa na Ponda nae asemeje. Then followed my question. Soma kwa hatua.

hivi mtu aliyenusurika kuuawa na aliyeuawa, ni tukio lipi lina ushahidi
 
Hakuna haja ya hofu, Mungu yupo upande wetu daima....
 
Tofautisha Ponda gaidi anaye lia lia na udini mwenye kuongoza kundi la wasio ona wala kusikia na Kamanda Mbowe ambaye anamtetea Ponda .

hayo ni matusi kwa waislam. ina maana waislam wanaomfuata Ponda ni kuwa hawaoni?
 
Hakuna haja ya hofu, Mungu yupo upande wetu daima....

Pompo, wala usimtetee Mbowe. yeye alimuua CHACHA WANGWE, na yeye ipo siku atakufa tu. iwe kwa ajali au kuumwa
 
sasa Mbowe anadanganya watu ili aonewe huruma? yeye kama amenusurika kufa Ponda naye atasemaje?

Hebu nipe FAIDA chanya mbili tu za Sheikh Ponda kwa watanzania(sitaki kwa waislamu) ili nami nikupe FAIDA zaidi ya 10 za Mbowe kwa waTZ
 
Haya yote yatafikia mwisho....!! Kila la kheri CDM katika ukombozi wa nchi hii kutoka mikononi mwa mafisadi.....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…