sasa Mbowe anadanganya watu ili aonewe huruma? yeye kama amenusurika kufa Ponda naye atasemaje?
Ni Dr Slaa wa baadhi ya waumini wa kiislamu
sasa Mbowe anadanganya watu ili aonewe huruma? yeye kama amenusurika kufa Ponda naye atasemaje?
Mwnyekiti wa Chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amesema amenusurika kuuawa katika matukio matatu yanayotokana na harakati zake za kisiasa.
Akihutubia umati mkubwa wa wananchi katika mji wa Meatu mkoani Simiu jana, Mbowe alisema hata kama atauawa hatasikitika na kwamba Watanzania wasimlilie.
Mbele ya umati huo akiwemo mbunge wa Maswa, John Shibuda, Mbowe alisema kuna watu ndani na nje ya CHADEMA ambao wamekuwa wakifanya kila mbinu kuwaangamiza viongozi na makada wa chama hicho.
Mbowe alisema viongozi wa CHADEMA akiwemo yeye mwenyewe wamekumbana na misukosuko mingi, ikiwemo yenye kuhatarisha maisha yao kutoka kwa wanasiasa wasioipenda nchi, lakini kwa neema ya Mungu wamenusurika.
Leo hii hata kama nikiuawa, naomba Watanzania msinililie. Mbele ya jeneza langu, nizikeni huku mkisema Bwana Alitoa na Bwana Ametwaaa, Jina Lake Lihimidiwe.
Leo CHADEMA sio ya Slaa wala ya Mbowe bali ya Watanzania iliyojengwa kwa misukosuko mingi na mkono wa Mungu.
Mmeshuhudia namna viongozi wake walivyonusurika kuuawa na kufungwa, na watu kufunguliwa na kesi mbalimbali.
Kwa hiyo yeyote awe kiongozi wa CHADEMA au watawala anayetamani kuibomoa chadema hataweza kamwe, alisema.
Kiongozi huyo alisema wale wote wanaofanya hivyo, wajue kuwa wanapambana na mkono wa Mungu na wamelenga kuwaumiza Watanzania.
CHADEMA ina baraka za Mungu na ndio maana imeshinda na kupita katika majaribu mengi ya watawala ambao wameshindwa kuifuta au kuibomoa, alisema.
Mbowe na viongozi wengine wa CHADEMA wako katika ziara ya mikutano ya mabaraza ya wazi kujadili rasimu ya Katiba mpya ambayo itaendeshwa nchi nzima kwa nia ya kukusanya maoni ya Watanzania.
Chanzo: Tanzania Daima
MY TAKE:
Hii inaonyesha siasa za Africa ni ngumu na nizakidhalimu maana watu wanaviziana h ata kwa kuuwana.
Hivi Ponda nae ni mwanasiasa?
Haijafika siku yake huyo
kwani jaribio la kuuawa lina uhusiano gani na shughuli za kisiasa
mkuu umesahau ya arusha?harakati za kudanganya watu alinusurika kufa wapi? wakiwa anafanya nini?
sasa Mbowe anadanganya watu ili aonewe huruma? yeye kama amenusurika kufa Ponda naye atasemaje?
gaidi ni lwakatare na henry kilewo ambao wanalisha watu sumu na kuwamwagia tindikali. walaaniwe mileleTofautisha Ponda gaidi anaye lia lia na udini mwenye kuongoza kundi la wasio ona wala kusikia na Kamanda Mbowe ambaye anamtetea Ponda .
Ndo uwe unasoma vizuri sasa. Alieleta uzi ameelezea kisiasa na ugumu uliopo kuwa mwanasiasa Afrika.
Mwingine akaja kusema Mbowe amedanganya eti amenusurika kuuawa na Ponda nae asemeje. Then followed my question. Soma kwa hatua.
Tofautisha Ponda gaidi anaye lia lia na udini mwenye kuongoza kundi la wasio ona wala kusikia na Kamanda Mbowe ambaye anamtetea Ponda .
Hakuna haja ya hofu, Mungu yupo upande wetu daima....
sasa Mbowe anadanganya watu ili aonewe huruma? yeye kama amenusurika kufa Ponda naye atasemaje?
Members wengine humu huyu sawa na baba yenu...shikeni adabu zenu!
![]()