Mbowe anusurika kifo mara tatu

Mbowe anusurika kifo mara tatu

Kusifanyike uchaguzi wowote ndani ya chadema mpaka baada 2015 viongozi wote ni wazuri kubadilisha dereva kunaweza kuleta ajali.
 
NTUZU kwetu ni ndoto za mchana Mytopia
  • Lakini mtu akikuchangia japo ata kama ni coin" siku ya uchaguzi lazima akamchague yule aliemchangia! Hawezi kabisa kuharibu kula Yake kwa kuchagua mtu tofauti
Kiongozi gani wewe amekuchangia? au n i wewe unayetoa. Kaa ufahamu sio wote wanafuata Itikadi yako wewe chagua umependae na hulazimishwi kwa vile mm nimepewa Khanga na Kofia.
  • Tujaribu kuyatafakari maneno mazuri ya Waziri mkuu mstaafu Mh Fredriki Sumaye anayosema juu ya wanasiasa wanaoingia ikulu kwa fedha na Ndio hao wanaozuia wanasiasa wenzao wasiingie ikulu kwa mtutu wa Bunduki!
Ni Kiongozi gani wa Siasa ambaye hana pesa au ni msafi unayemuona bora aende Ikulu
MBOWE na SUMAYE wamekopa mamilioni huko kwenye Mifuko ya jamii na Kesi zao zipo zinaminywaminywa leo unatuletea Siasa za kushikiliwa kichwa majukwaani eti kuna watu wanafadhiliwa na matajiri ili waingie Ikulu ( CCM, CHADEMA, CUF vyote vina viongozi matajiri wanaoviongoza na pia wanaofadhiliwa na Nchi za Nje)
Hebu rudi tena kwa ufasaha na ndoto zako za Helkopta

Hoja yako ni nyepesi sana na inaonesha ni jinsi gani umeguswa na maelezo yng! Acheni kutoa takrima za Khanga na tisheti na kofia! Na pia maneno ya Mh Fredriki Sumaye ni mwiba sn Kaeni maana hamuyapendi Kama ukoma! Na pia Kama mnaushaidi na hayo Madai yenu kwanini msiende mahakamani mumshitaki.Mbowe Kamanda wa ukweli, maana Kama ingekua ni kweli mngekua tayari mmeshpeleka mahakamani maana Lwakatare ushahidi wa You Tube Tayari mkamtia ndani!
 
Hoja yako ni nyepesi sana na inaonesha ni jinsi gani umeguswa na maelezo yng! Acheni kutoa takrima za Khanga na tisheti na kofia! Na pia maneno ya Mh Fredriki Sumaye ni mwiba sn Kaeni maana hamuyapendi Kama ukoma! Na pia Kama mnaushaidi na hayo Madai yenu kwanini msiende mahakamani mumshitaki.Mbowe Kamanda wa ukweli, maana Kama ingekua ni kweli mngekua tayari mmeshpeleka mahakamani maana Lwakatare ushahidi wa You Tube Tayari mkamtia ndani!
wewe bado ni mtoto kwa siasa za TZ na akili yako ni ya kushikiwa. sisi tunachangia NSSF na tumeona Wazazi wetu hawakulipwa angalau hata riba ya hele waliochanga/kucnhangiwa na mwajiri wewe unaleta ushabiki
Umeambiwa wapi wanashtakiwa hawa watu, wewe km Khanga hutaki kachangie hivyo vi-100 vyako lakini hutapunguza utajiri wao. Nakushauri katafute ugali ule ya Dunia huyawezi kwani huna ubavu wa kupewa hata senti ya Mifuko ya Hifadhi ya jamii km Fredrick T.Sumaye alivyokopa hela na kununua Mashanba Kibaigwa akidai ni ya IFAD wakati sio mwanachama ALIRUDISHA?
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...husishwa-na-ufisadi-wa-kuimaliza-nssf-21.html
Mbowe aifilisi NSSF
*Adaiwa milioni 1200, hataki kulipa
*Atumia sheria kukwepa asifungwe
*Adai iliyokopa ni kampuni si yeye
 
wewe bado ni mtoto kwa siasa za TZ na akili yako ni ya kushikiwa. sisi tunachangia NSSF na tumeona Wazazi wetu hawakulipwa angalau hata riba ya hele waliochanga/kucnhangiwa na mwajiri wewe unaleta ushabiki
Umeambiwa wapi wanashtakiwa hawa watu, wewe km Khanga hutaki kachangie hivyo vi-100 vyako lakini hutapunguza utajiri wao. Nakushauri katafute ugali ule ya Dunia huyawezi kwani huna ubavu wa kupewa hata senti ya Mifuko ya Hifadhi ya jamii km Fredrick T.Sumaye alivyokopa hela na kununua Mashanba Kibaigwa akidai ni ya IFAD wakati sio mwanachama ALIRUDISHA?
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...husishwa-na-ufisadi-wa-kuimaliza-nssf-21.html
Mbowe aifilisi NSSF
*Adaiwa milioni 1200, hataki kulipa
*Atumia sheria kukwepa asifungwe
*Adai iliyokopa ni kampuni si yeye

Wewe hueleweki hauna msimamo ukamanda haupo wala gambani haumo! Komaa uijue siasa upate mahela
 
Wewe hueleweki hauna msimamo ukamanda haupo wala gambani haumo! Komaa uijue siasa upate mahela
Nakushukuru Bw Ntuzu km hata kusoma Link zinakushinda iko siku utakuwa na historia itakufafanulia mm siwezi kukoamaa kwa ajili ya visent vya kuchangiwa kwenye maBox na wenzako wakiiba fedha za Wazazi wetu mpka wanafariki hatuambulii chochote,
Subiri Kesi ya Mfuko wa Jamii walivyokwapua mabilioni inayosimamiwa na Tundu Lissu ndio utajua tunaibiwa
 
Nakushukuru Bw Ntuzu km hata kusoma Link zinakushinda iko siku utakuwa na historia itakufafanulia mm siwezi kukoamaa kwa ajili ya visent vya kuchangiwa kwenye maBox na wenzako wakiiba fedha za Wazazi wetu mpka wanafariki hatuambulii chochote,
Subiri Kesi ya Mfuko wa Jamii walivyokwapua mabilioni inayosimamiwa na Tundu Lissu ndio utajua tunaibiwa

Bado niko palepale kua wew hauko upande wowote! Ndo maana nimeona haina Haja ya kujibishana!
 
Mungu akiwa upande wako Mbowe ni nani aliye juu yako?
La msingi ni kuzidi kumlilia yeye. Yeye ni mtetezi wa wanyonge. Wanyonge wanapopaza sauti zao za kudai haki kutokana na kukandamizwa, kuonewa na kadhalika...mungu anakuwa upande wao.
Kwa kuwa 'sauti ya wengi ni sauti ya MUNGU'.
Aluta kontinyua...
 
Back
Top Bottom