Mbowe anaunguruma bungeni muda huu!

Mm naona anaenda nje ya hoja za msingi na hii ndio tatizo la mbowe masuala ya bunge la katiba ni kule kule c huku hapa tunataka alete nondo za maana,ninacho kiona hapa malumbano matupu tuu
Kama ulisikiliza hotuba ya Pinda jana usingesema haya!
 
Wakazi wa Mbagala wanahitaji kuwa wilaya kama UKAWA wanavyoihitaji Tanganyika. Mbowe kawakejeli. Haoni kuwa anajikejeli na yeye mwenyewe?

Kwa hiyo na wewe unajikejeli mwenyewe unapomkejeli Mh Warioba na sisi wananchi tunaotaka Taifa letu la Tanganyika?
 
Jana waziri mkuu aliwasilisha budget yake. Sasa leo ni zamu ya Mbowe kuwasilisha budget mbadala. Vitu vyote anavyo ongea vinasimamiwa na ofisi ya waziri mkuu. So hajatoka nje ya mada. Yuko sahihi.

Wewe ndio umenijibu shikran I got it now
 
CCM tunaweza kufanya jambo bila nyie mburulaz wa upinzani. Ila Nyie Hamuwezi kufanya jambo bila ya serikali ya CCM

Na hakuna NCHI waliyowekewa CCM tu.Tanzania yetu sote asiye nachama mwanaCCM na Mpinzani.Hakuna mahali ambapo ukiwa mpinzani unavunja katiba ya nchi,,ila ukibagua watu kulingana na ITIKADI zao unatenda kosa la jinai na unavunja Katiba na sheri za nchi.

Wewe sasa ndiyo unayevunja katiba ya nchi,na ndiyo maana Mbowe kasema ukweli,wanachama wa CCM wanapowatukana wapinzani na hata kuhutubia ubaguzi wa ukabila na rangi za watanzania viongozi wananyamaza,sasa tuliokuwa hatuamini tunaanza kuamini,viongozi wa kuu wa nchi wanawatuma kufanya hayo,wangekuwa hawatumi wangewapiga marufuku.

Siyo lazima mpaka Mtume/Yesu au Malaika aje awaambie myatendayo si mema ndiyo mtaacha.Tupo sawa wote tunahitaji haki ya kuamini na kufuata chama tunachokipenda.Leo uko CCM kesho utahama uende upinzani hapo ndipo utajua maana yake nini kuwa mpinzani.

ALichosema Generali Ulimwengu nimeamini hampendi kuwe na diologue,mara zote mnataka kushinda kwa nguvu tu.
 
Kwa hiyo na wewe unajikejeli mwenyewe unapomkejeli Mh Warioba na sisi wananchi tunaotaka Taifa letu la Tanganyika?
Unajua ukizoea kukejeli, basi uvumilie na kukejeliwa. Mbowe anawakejeli watu wa Mbagala ila alivyokejeliwa yeye na Warioba wake wakasusa bunge
 
Nadhani huyu The Listener hajanielewa nimesema serikali za Mitaa ziko ofc ya Waziri Mkuu na chaguzi za mitaa ziko ofc hiyo kwa hiyo kujadiliwa daftari la wapiga kura hajaenda nje ya mada
Great thinkers wapya hao wasikupe shida, ndo kwanza wanaanza kufuatilia bunge.
 
Kuna majitu yamegeuza midomo yao kuwa sehemu ya mwisho ya utumbo mpana.
Dah! Mkuu, ndo umeandika nini? Kuna wabunge wa UKAWA unawalenga kwa kauli yako hiyo. Wengine ni wanaume lakini wamehiari kuwa wanawake
 
budget ya offisi ya waziri mkuu inahusisha udget ya uandaaji wa katiba. KATIBA! mwana siasa makini akifikishwa hapo anatake advantage na kusema yote! We hujiulizi kwa nini spika amwachie tu aendelee kama anatoka nje ya hoja?

Kweli ndugu yangu hilo nilijiuliza
 
Kweli mwenye Masikio amesikia mweshimiwa ametoa hutuba safi sana Magamba yana tetemeka
 
Humu ndani kunakunguni wengi sana! Mtoa post Katiba inazungumziwa Bungeni kwasababu bajeti husika haiwezi kupitishwa mahala pengine isipokuwa Bungeni pekee.

BACK TANGANYIKA

Unaweza kuchangia tu hata kwa busara na ukaeleweka pia bila dhihaka ndugu
 
Huyu naye awe Waziri Kamili! Kwanza huyu Silinde yumo kwenye list ya Mawaziri kivuli watakaotemwa

Sijui kwanini ukishakuwa MwanaCCM akili yako inahamia katikati ya m.s.a.b.u.r.i?Mbona Mwigulu Nchemba,Umy Mwalimu na Juma Nkamia ni mawaziri?
 
Naishi Mtaa wa Kibulang'oma, Kata ya Lizaboni, Wilaya na Manispaa ya Songea Mjini, Mkoa wa Ruvuma, nchi ya Tanzania

Basi wewe ni yule mbunge anayefikiria kwa kutumia kinena na kigodoro chake Lulu
 
Dah! Mkuu, ndo umeandika nini? Kuna wabunge wa UKAWA unawalenga kwa kauli yako hiyo. Wengine ni wanaume lakini wamehiari kuwa wanawake

Ulichokiandika wewe ni maalumu kwako na wote wanaokuhusu.
 
Nasema sisiemu waache uhuni wao unamwisho na mwisho wao mbaya. Waache kuchezea akili za watz
 

Chadema badala ya kuzungumzia mambo muhimu ya maendeleo ya nchi wao wanaendekeza mipasho. Haya mambo ya kuchanana ni mambo ya kwenye taarab.
 
Na yale macho huwa anaona?


Machafuko akapeleke kwao Hai
 
ndg usipoteze muda kulumbana na mjinga,utaumiza kichwa bureeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…