Mbowe anapaswa awaombe radhi Watanzania

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,119
7,701
Waswahili husema; " uungwana ni vitendo",

pamoja na mashitaka yaliyo kuwa yanamkabili kuondolewa na DPP iwe kwa sababu yoyote ile lkn kwa kuwa tuhuma zilizo kuwa zinamkabili zililenga kuhatarisha amani na usalama wa watanzania basi naona ni vyema Mbowe akaomba radhi watanzania na ninaamini watanzania wote watamsamehe na kumpokea.

Hatua hii inahitaji uadilifu wa kiroho zaidi sio wa kisheria, hapa sasa sio mahakamani bali ni kati ya roho yake na Mungu wake, inawezekana wafuasi wake wakawa wanamtetea kwa nguvu sana na kuweza kuuaminisha umma kuwa tuhuma zilizo kuwa zinamkabili ni za uongo lkn Mbowe mwenyewe ndiye anaye jua zaidi kuliko mwengine.

Naamini Mbowe na wenzake ni waumini wazuri hivyo njia pekee aliyo nayo baada ya sakata hili ni kutubia mbele za Mungu na kuwaomba radhi watanzania.
hakika Mungu atamsamehe na watzania wote tutamsamehe na tutampokea.

Njia pekee ya kuwaunganisha watanzania wote baada ya sakata hili ni kuwaomba radhi watanzania kwa yote yaliyo tokea na sio kuleta utetezi na lawama, maana katika jambo hili kuna watanzania wanao amini kuwa Mbowe alikuwa na mipango ya kuharibu amani ya nchi lkn pia wapo amabo hawaamini tuhuma hizo, hivyo njia pekee kwa mbowe ni kuwaomba radhi wale walio kwazika na tuhuma hizo na kwa pamoja tutasonga mbele.

nami kwa niaba ya watanzania wenzangu tupo tayari kumsamehe na kumpokea.
 
Waswahili husema; " uungwana ni vitendo",

pamoja na mashitaka yaliyo kuwa yanamkabili kuondolewa na DPP iwe kwa sababu yoyote ile lkn kwa kuwa tuhuma zilizo kuwa zinamkabili zililenga kuhatarisha amani na usalama wa watanzania basi naona ni vyema Mbowe akaomba radhi watanzania na ninaamini watanzania wote watamsamehe na kumpokea.

Hatua hii inahitaji uadilifu wa kiroho zaidi sio wa kisheria, hapa sasa sio mahakamani bali ni kati ya roho yake na Mungu wake, inawezekana wafuasi wake wakawa wanamtetea kwa nguvu sana na kuweza kuuaminisha umma kuwa tuhuma zilizo kuwa zinamkabili ni za uongo lkn Mbowe mwenyewe ndiye anaye jua zaidi kuliko mwengine.

Naamini Mbowe na wenzake ni waumini wazuri hivyo njia pekee aliyo nayo baada ya sakata hili ni kutubia mbele za Mungu na kuwaomba radhi watanzania.
hakika Mungu atamsamehe na watzania wote tutamsamehe na tutampokea.

Hivi hii mtu inaendelea kuaminiwa kutulinda?

IMG_20220305_073032_979.jpg


Ya kwamba kwa uzalendo wake na wasiojulikana wenziwe hawalali kwa ajili yetu?

SSH - tenda jambo hapa ukauone mwitikio wake.
 
Waswahili husema; " uungwana ni vitendo",

pamoja na mashitaka yaliyo kuwa yanamkabili kuondolewa na DPP iwe kwa sababu yoyote ile lkn kwa kuwa tuhuma zilizo kuwa zinamkabili zililenga kuhatarisha amani na usalama wa watanzania basi naona ni vyema Mbowe akaomba radhi watanzania na ninaamini watanzania wote watamsamehe na kumpokea.

Hatua hii inahitaji uadilifu wa kiroho zaidi sio wa kisheria, hapa sasa sio mahakamani bali ni kati ya roho yake na Mungu wake, inawezekana wafuasi wake wakawa wanamtetea kwa nguvu sana na kuweza kuuaminisha umma kuwa tuhuma zilizo kuwa zinamkabili ni za uongo lkn Mbowe mwenyewe ndiye anaye jua zaidi kuliko mwengine.

Naamini Mbowe na wenzake ni waumini wazuri hivyo njia pekee aliyo nayo baada ya sakata hili ni kutubia mbele za Mungu na kuwaomba radhi watanzania.
hakika Mungu atamsamehe na watzania wote tutamsamehe na tutampokea.

Njia pekee ya kuwaunganisha watanzania wote baada ya sakata hili ni kuwaomba radhi watanzania kwa yote yaliyo tokea na sio kuleta utetezi na lawama, maana katika jambo hili kuna watanzania wanao amini kuwa Mbowe alikuwa na mipango ya kuharibu amani ya nchi lkn pia wapo amabo hawaamini tuhuma hizo, hivyo njia pekee kwa mbowe ni kuwaomba radhi wale walio kwazika na tuhuma hizo na kwa pamoja tutasonga mbele.
nami kwa niaba ya watanzania wenzangu tupo tayari kumsamehe na kumpokea.
Akili ni nywele kila mtu ana zake.

Serikali ndio inabidi imuombe yeye na wenzake msamaha kwa kuwashikilia miezi 8, kuwatesa na kuwavunjia heshima halafu eti imeamua kutoendelea na kesi.

Yani nikukamate nikutuhumu nikuweke ndani halafu baada ya miezi minane nikuachie halafu uombe msamaha?
 
kumbukeni kesi "hajafutwa" bali "imeondolewa", hivyo lazima mjifunze maana ya misamiati hiyo hapo miwili.
lakini pia kumbukeni kesi ya Jinai "haiozi" wala "haichachi"
ni suala la muda tu......
 
Waswahili husema; " uungwana ni vitendo",

pamoja na mashitaka yaliyo kuwa yanamkabili kuondolewa na DPP iwe kwa sababu yoyote ile lkn kwa kuwa tuhuma zilizo kuwa zinamkabili zililenga kuhatarisha amani na usalama wa watanzania basi naona ni vyema Mbowe akaomba radhi watanzania na ninaamini watanzania wote watamsamehe na kumpokea.

Hatua hii inahitaji uadilifu wa kiroho zaidi sio wa kisheria, hapa sasa sio mahakamani bali ni kati ya roho yake na Mungu wake, inawezekana wafuasi wake wakawa wanamtetea kwa nguvu sana na kuweza kuuaminisha umma kuwa tuhuma zilizo kuwa zinamkabili ni za uongo lkn Mbowe mwenyewe ndiye anaye jua zaidi kuliko mwengine.

Naamini Mbowe na wenzake ni waumini wazuri hivyo njia pekee aliyo nayo baada ya sakata hili ni kutubia mbele za Mungu na kuwaomba radhi watanzania.
hakika Mungu atamsamehe na watzania wote tutamsamehe na tutampokea.

Njia pekee ya kuwaunganisha watanzania wote baada ya sakata hili ni kuwaomba radhi watanzania kwa yote yaliyo tokea na sio kuleta utetezi na lawama, maana katika jambo hili kuna watanzania wanao amini kuwa Mbowe alikuwa na mipango ya kuharibu amani ya nchi lkn pia wapo amabo hawaamini tuhuma hizo, hivyo njia pekee kwa mbowe ni kuwaomba radhi wale walio kwazika na tuhuma hizo na kwa pamoja tutasonga mbele.
nami kwa niaba ya watanzania wenzangu tupo tayari kumsamehe na kumpokea.
Ndugu Zito ungekaa kimya tu kujijengea heshima.
 
Waswahili husema; " uungwana ni vitendo",

pamoja na mashitaka yaliyo kuwa yanamkabili kuondolewa na DPP iwe kwa sababu yoyote ile lkn kwa kuwa tuhuma zilizo kuwa zinamkabili zililenga kuhatarisha amani na usalama wa watanzania basi naona ni vyema Mbowe akaomba radhi watanzania na ninaamini watanzania wote watamsamehe na kumpokea.

Hatua hii inahitaji uadilifu wa kiroho zaidi sio wa kisheria, hapa sasa sio mahakamani bali ni kati ya roho yake na Mungu wake, inawezekana wafuasi wake wakawa wanamtetea kwa nguvu sana na kuweza kuuaminisha umma kuwa tuhuma zilizo kuwa zinamkabili ni za uongo lkn Mbowe mwenyewe ndiye anaye jua zaidi kuliko mwengine.

Naamini Mbowe na wenzake ni waumini wazuri hivyo njia pekee aliyo nayo baada ya sakata hili ni kutubia mbele za Mungu na kuwaomba radhi watanzania.
hakika Mungu atamsamehe na watzania wote tutamsamehe na tutampokea.

Njia pekee ya kuwaunganisha watanzania wote baada ya sakata hili ni kuwaomba radhi watanzania kwa yote yaliyo tokea na sio kuleta utetezi na lawama, maana katika jambo hili kuna watanzania wanao amini kuwa Mbowe alikuwa na mipango ya kuharibu amani ya nchi lkn pia wapo amabo hawaamini tuhuma hizo, hivyo njia pekee kwa mbowe ni kuwaomba radhi wale walio kwazika na tuhuma hizo na kwa pamoja tutasonga mbele.
nami kwa niaba ya watanzania wenzangu tupo tayari kumsamehe na kumpokea.
Unaomba msamaha ukiwa na kosa, mbowe sio kwamba amesamehewa kutoka gerezani baada ya kuhukumiwa. Sasa anaomba msamaha kwa kosa gani?
 
Waswahili husema; " uungwana ni vitendo",

pamoja na mashitaka yaliyo kuwa yanamkabili kuondolewa na DPP iwe kwa sababu yoyote ile lkn kwa kuwa tuhuma zilizo kuwa zinamkabili zililenga kuhatarisha amani na usalama wa watanzania basi naona ni vyema Mbowe akaomba radhi watanzania na ninaamini watanzania wote watamsamehe na kumpokea.

Hatua hii inahitaji uadilifu wa kiroho zaidi sio wa kisheria, hapa sasa sio mahakamani bali ni kati ya roho yake na Mungu wake, inawezekana wafuasi wake wakawa wanamtetea kwa nguvu sana na kuweza kuuaminisha umma kuwa tuhuma zilizo kuwa zinamkabili ni za uongo lkn Mbowe mwenyewe ndiye anaye jua zaidi kuliko mwengine.

Naamini Mbowe na wenzake ni waumini wazuri hivyo njia pekee aliyo nayo baada ya sakata hili ni kutubia mbele za Mungu na kuwaomba radhi watanzania.
hakika Mungu atamsamehe na watzania wote tutamsamehe na tutampokea.

Njia pekee ya kuwaunganisha watanzania wote baada ya sakata hili ni kuwaomba radhi watanzania kwa yote yaliyo tokea na sio kuleta utetezi na lawama, maana katika jambo hili kuna watanzania wanao amini kuwa Mbowe alikuwa na mipango ya kuharibu amani ya nchi lkn pia wapo amabo hawaamini tuhuma hizo, hivyo njia pekee kwa mbowe ni kuwaomba radhi wale walio kwazika na tuhuma hizo na kwa pamoja tutasonga mbele.
nami kwa niaba ya watanzania wenzangu tupo tayari kumsamehe na kumpokea.
Yaani mmepigwa vibaya sana hata hamuelewi mshike pambio gani.
 
Mnaangaika sana! Mwenzetu katoka ivi kwann tusimwache apumzike kidogo kuliko kutaka awalambe lambe ninyi miungu watu.Kama unaona kukaa jela ni sifa bas omba sana yasikukute ndugu...omba sana
Hawawezi kumwacha apumzike maana matamanio yao ilikuwa ni kuona akiozea magereza; kinyume chake ndio huku kuweweseka.
 
Back
Top Bottom