Habari wadau!
Moderators please! Msiunganishe huu uzi kwani unajitegemea na haujataja jina la mtu.
Nianze kwa kusema,
Kwenye hii dunia yapo makosa yanayosameheka, na mengi ya makosa huisha pale tu yule alietenda kosa anapohaga dunia hivyo ndivyo ilivyo.
Ila kwa kosa walilofanya hawa watu la kuuza chama na kuiuza ajenda ya Ufisadi kwa mtu ambaye miaka yote alikua akijulikana fisadi papa na ushahidi tuliambiwa uliwepo wa kumtia hatiani yule fisadi papa.
Hakuna kitu chochote kilichoweza kubadilisha hali isipo kuwa ni KUHONGWA.
Mwenyekiti na Mwanasheria wote wamehongwa kwa mabilioni ya Pesa huku sisi chini tukihamasisha kukabiliana na vyombo vya dola.
Watu wamepoteza maisha kwa sababu ya chama,watu wanaulemavu wa kudumu kwa ajili ya kukipigania chama, watu wanatumikia vifungo kwenye magereza mbali mbali kwa lengo la kuleta ukombozi kwenye taifa
Then Jemedali mkuu na mwanasheria wake wanakaa kwenye meza wanajadilia biashara na kuuza matumaini ya watanzania kwa fisadi papa .
Hakika nyie wawili hamuwezi kusamehewa hata kidogo kwa dhambi ile mlioifanya.
Na hakika Lazima mufe vifo vya aibu
Kama malipo ya usaliti wenu kwa taifa na ajenda ya ufisadi
Na lazima makaburi yenu kuyacharaza bakora ili kuondoa laana ile isije kusambaa kwa vizazi vya uongozi ujao.
Tupe Chanzo cha Taarifa yakoHabari wadau!
Moderators please! Msiunganishe huu uzi kwani unajitegemea na haujataja jina la mtu.
Nianze kwa kusema,
Kwenye hii dunia yapo makosa yanayosameheka, na mengi ya makosa huisha pale tu yule alietenda kosa anapohaga dunia hivyo ndivyo ilivyo.
Ila kwa kosa walilofanya hawa watu la kuuza chama na kuiuza ajenda ya Ufisadi kwa mtu ambaye miaka yote alikua akijulikana fisadi papa na ushahidi tuliambiwa uliwepo wa kumtia hatiani yule fisadi papa.
Hakuna kitu chochote kilichoweza kubadilisha hali isipo kuwa ni KUHONGWA.
Mwenyekiti na Mwanasheria wote wamehongwa kwa mabilioni ya Pesa huku sisi chini tukihamasisha kukabiliana na vyombo vya dola.
Watu wamepoteza maisha kwa sababu ya chama,watu wanaulemavu wa kudumu kwa ajili ya kukipigania chama, watu wanatumikia vifungo kwenye magereza mbali mbali kwa lengo la kuleta ukombozi kwenye taifa
Then Jemedali mkuu na mwanasheria wake wanakaa kwenye meza wanajadilia biashara na kuuza matumaini ya watanzania kwa fisadi papa .
Hakika nyie wawili hamuwezi kusamehewa hata kidogo kwa dhambi ile mlioifanya.
Na hakika Lazima mufe vifo vya aibu
Kama malipo ya usaliti wenu kwa taifa na ajenda ya ufisadi
Na lazima makaburi yenu kuyacharaza bakora ili kuondoa laana ile isije kusambaa kwa vizazi vya uongozi ujao.
Unataka chazo cha habari kwani kuna mtu katajwa jina hapo!?Tupe Chanzo cha Taarifa yako
Mod tafadhari kama hana chanzo Futa huu Uzi.
Vielelezo vya chama gani Kimeuzwa na Alinunua nani?Unataka chazo cha habari kwani kuna mtu katajwa jina hapo!?
Habari wadau!
Moderators please! Msiunganishe huu uzi kwani unajitegemea na haujataja jina la mtu.
Nianze kwa kusema,
Kwenye hii dunia yapo makosa yanayosameheka, na mengi ya makosa huisha pale tu yule alietenda kosa anapohaga dunia hivyo ndivyo ilivyo.
Ila kwa kosa walilofanya hawa watu la kuuza chama na kuiuza ajenda ya Ufisadi kwa mtu ambaye miaka yote alikua akijulikana fisadi papa na ushahidi tuliambiwa uliwepo wa kumtia hatiani yule fisadi papa.
Hakuna kitu chochote kilichoweza kubadilisha hali isipo kuwa ni KUHONGWA.
Mwenyekiti na Mwanasheria wote wamehongwa kwa mabilioni ya Pesa huku sisi chini tukihamasisha kukabiliana na vyombo vya dola.
Watu wamepoteza maisha kwa sababu ya chama,watu wanaulemavu wa kudumu kwa ajili ya kukipigania chama, watu wanatumikia vifungo kwenye magereza mbali mbali kwa lengo la kuleta ukombozi kwenye taifa
Then Jemedali mkuu na mwanasheria wake wanakaa kwenye meza wanajadilia biashara na kuuza matumaini ya watanzania kwa fisadi papa .
Hakika nyie wawili hamuwezi kusamehewa hata kidogo kwa dhambi ile mlioifanya.
Na hakika Lazima mufe vifo vya aibu
Kama malipo ya usaliti wenu kwa taifa na ajenda ya ufisadi
Na lazima makaburi yenu kuyacharaza bakora ili kuondoa laana ile isije kusambaa kwa vizazi vya uongozi ujao.
Chama kimekuwa cha matukio..hakuna agenda tena..
Acha ujinga kishina cha mshaharaMimi naomba niseme kuna hatari naiona kwa chama chetu kwa siku za usoni.
Propaganda hizi zinaweza pata nguvu na kushawishi watu kuziamini iwapo viongozi wetu wataanza kuwa "soft" katika misimamo yao tofauti na walivyokuwa siku za nyuma.
Anzisha uzi wako,Naomba tujadili kwanza suala la hela za misaada kule Kagera kwenda kufanyia kazi isiyokusudiwa, hili la chama kuuzwa lishasemwa sana kama hujawahi kusikia majibu basi ungesoma thread za watu wengine humu jf.