Habari wadau!
Moderators please! Msiunganishe huu uzi kwani unajitegemea na haujataja jina la mtu.
Nianze kwa kusema,
Kwenye hii dunia yapo makosa yanayosameheka, na mengi ya makosa huisha pale tu yule alietenda kosa anapohaga dunia hivyo ndivyo ilivyo.
Ila kwa kosa walilofanya hawa watu la kuuza chama na kuiuza ajenda ya Ufisadi kwa mtu ambaye miaka yote alikua akijulikana fisadi papa na ushahidi tuliambiwa uliwepo wa kumtia hatiani yule fisadi papa.
Hakuna kitu chochote kilichoweza kubadilisha hali isipo kuwa ni KUHONGWA.
Mwenyekiti na Mwanasheria wote wamehongwa kwa mabilioni ya Pesa huku sisi chini tukihamasisha kukabiliana na vyombo vya dola.
Watu wamepoteza maisha kwa sababu ya chama,watu wanaulemavu wa kudumu kwa ajili ya kukipigania chama, watu wanatumikia vifungo kwenye magereza mbali mbali kwa lengo la kuleta ukombozi kwenye taifa
Then Jemedali mkuu na mwanasheria wake wanakaa kwenye meza wanajadilia biashara na kuuza matumaini ya watanzania kwa fisadi papa .
Hakika nyie wawili hamuwezi kusamehewa hata kidogo kwa dhambi ile mlioifanya.
Na hakika Lazima mufe vifo vya aibu
Kama malipo ya usaliti wenu kwa taifa na ajenda ya ufisadi
Na lazima makaburi yenu kuyacharaza bakora ili kuondoa laana ile isije kusambaa kwa vizazi vya uongozi ujao.