Acha kuvamia uzi za watu, anzisha wa kwako
Huyo fisadi anayetajwa miaka nenda miaka rudi kwa nn hakamatwiWabunge wenu wakigawana pesa za wahanga wa tetemeko la kagera sio ufisadi.
Wabunge wenu wakigawana pesa za wahanga wa tetemeko la kagera sio ufisadi.
Wewe tia tu unafiki lakini nakuambia malipo hapa hapa DunianiMnahangaika hadi mnatia huruma!!!!
Fanyeni tathmini, hii makitu haiwaleteeni tija.
Ingekuwa heri mwenyekiti wenu angeenda bukoba hata asingeongea kitu ingesaidia kuliko mnavyogaragara kwenye matope namna hii.
MMechelewa kamandaMimi naomba niseme kuna hatari naiona kwa chama chetu kwa siku za usoni.
Propaganda hizi zinaweza pata nguvu na kushawishi watu kuziamini iwapo viongozi wetu wataanza kuwa "soft" katika misimamo yao tofauti na walivyokuwa siku za nyuma.
Hivi sasa inajengeka picha kuwa wapiganaji ndani ya chama wamekuwa ni watu wachache huku wengine wakionekana kutojishughulisha,wengine wakionekana kuwa softy na wengine ni kama hawapo kabisa.
Team work ni kama inapotea au inashuka na hali hiii inaweza kuwa chanzo cha kukatisha tamaa baadhi ya watu na kuzipa nguvu propanda hizi.
Something must be done now.
Ndio kawaida yenu kumnasibisha mtoa hoja na CCM ili kupoteza Credibility ya mtu.Ukiwa ccm huwezi kujenga hoja. Utaishia, kuokoteza maneno ya kwenye vigiwe vya kahawa
Siamini kabisa katika kuhongwa na hii hoja ya kuhongwa naiona ni propaganda tu ila ninachokiona ni kupungua kwa jitihada na harakati za kisiasa ndani ya chama kutoka na mambo mawili.Acha ujinga kishina cha mshahara
, mimi na wewe wiki iliopita tulizungumza nini kuhusiana na chama?
Chama kimevamiwa, chama kimepoteza ajenda, chama lazima kirudi kwenye mstari.
Na Chanzo cha masahibu hayo yote ni kwa Pesa iliotumika kuwanunua watu waliokuo front line
Gia inabadilishwaje angani kama si kuhongwa huko tuseme kitu gani?
Waulize waliokuwa wakimtaja, kwa miaka minane kwanini walikuwa hamshitaki? wakituaminisha na ushahidi wanao.Huyo fisadi anayetajwa miaka nenda miaka rudi kwa nn hakamatwi
Wenye madaraka mmeshindwa kumshitaki na kumfunga?Waulize waliokuwa wakimtaja, kwa miaka minane kwanini walikuwa hamshitaki? wakituaminisha na ushahidi wanao.