Inasikitisha sana pale mtu unapoamua kutoa taarifa za uongo na zilizojaa chuki bila kuwa na uhakika wa unachokiwasilisha kwa umma.PCCB wanafanya kazi 24 hrs kwa hiyo km unao ushahidi juu ya MBOWE na group lake kupewa hela na Lowassa, ebu fanya jambo la kishujaa ambalo litasababisha history ikukumbuke kizazi na kizazi.
Km huyu jamaa wanaemwita DJ ambae IQ yake inatiliwa shaka kakiuza chama kwa EL, Akipewa nchi ataiuza pia. Tuweni makini na viongozi kama hawa.
Tena kakiuza kwa bilioni 10 tu kwa fisadi Lowasa
Tena kakiuza kwa bilioni 10 tu kwa fisadi Lowasa
Km huyu jamaa wanaemwita DJ ambae IQ yake inatiliwa shaka kakiuza chama kwa EL, Akipewa nchi ataiuza pia. Tuweni makini na viongozi kama hawa.
Ukishinda mechi unachukua kombe mchezo umeisha. Ukishinda uchaguzi unaanza kazi muhimu ya kuongoza nchi.
Ni makosa makubwa kufananisha ushindi wa mechi na uchaguzi. We must think beyond uchaguzi.
Km huyu jamaa wanaemwita DJ ambae IQ yake inatiliwa shaka kakiuza chama kwa EL, Akipewa nchi ataiuza pia. Tuweni makini na viongozi kama hawa.