Ni leo nimepata kuona habari mitandaoni na magazetini kuwa Mh mbowe katoa kauli ya kumkaribisha Aliyekuwa waziri mkuu wa zamani Edward Lowada kujiunga na chama chetu pendwa chadema.
Awalli sikutaka kuamini na bado sijaamini kuhusu hizi fununu,na kama ni kweli, namtaka Mh Aikael Freeman mbowe atoe maelezo fasaha amemkaribisha lowasa aje kufanya nini? Sote tunamjua Lowasa na tuhuma nzito za kifisadi, tuna mfahamu vizuri Lowasa na kundi lake la mbwa mwizi linalomzunguka.
B inafsi simkatai lowasa kama binadamu bali napinga tabia yake ya uwizi rushwa, uroho na ubinafsi.
Natahadharisha kusema kuwa CHADEMA tunaipenda toka moyoni ndio maana hatutingishiki na sunami za ccm kwa kuwa tunaamini Chadema ni chama safi na chenye uhakika wa kutuletea mabadtiko chanya kwa taifa. Kwa nilivyoona kauli hizi ni dhahiri chama kinaenda kuanguka kwa kuwakatisha tamaa wananchi.
Lowasa ni nani ktk chadema, cjama kimeimarika vya kutosha nila uwepo wa lowasa, nini mnachotegemea kwa Lowasa kwa sasa, ccm imemuona hafai ikamtema wewe unamkaribisha bila hata aibu, unataka kutuaminisha kuwa nyie ni maswahaba? Kama ndivyo iweje ccm tuinyoshee mkono?
Mh Mbowe umetukera sana sinaamani kabisa hadi uje utupe ufafanuzi zaidi nini maana yake.
mbowe anataka kutukana akili za wote waliojiunga chadema kwa kuchukia ufisadi!!!
Ila mbowe ni mmiliki wa night club na casino, kucheza karata/upatu/kamari kupo damuni.
Ameona watanzania wengi walivyokuwa mashabiki wa lowassa.
Lowassa ni "a gamble worth taking" kwa mbowe.
Mbowe hajawahi kuwa mtetezi wa wanyonge; zile ni ngonjera za kuombea kura na bakuli lake la kusaidia chama.
Namhurumia dr. Slaa kuendelea kuwa chadema.
Kuna waliomdharau zitto alipotaka kuleta mageuzi, wao wakaita mapinduzi, ndani ya chadema ila walipofushwa wakakataa kuchunguza tuhuma zilizokuwa kwenye ule waraka kujiridhisha kama zilikuwa za kweli au za uongo!
Bahati mbaya mbowe hawezi fukuzwa chadema kwa hiyo busara ni kwa sisi wenye akili ya kuchambua kujitenga na kusudio hili la mbowe na genge lake la kunajisi vita dhidi ya ufisadi
Mkuu kama ulivyojieleza kuwa ni mwana cdm mzuri,tumekuelewa na tunaheshimu uwepo wako ndani ya cdm,naamini unazijua njia mzuri zaidi za kufuatilia mambo mazito kama hili,nikwenda ofisi ya cdm ukawasilisha malalamiko na hata kukutana na mh mbowe na kilizungumza hili suara kichama,kuliko kuamua kulianika mitandaoni.ni ushauri tu mkuu
Naona ukaskazini cdm unashika kasi, hala hala msije kuigawa nchi tuu,
Ni leo nimepata kuona habari mitandaoni na magazetini kuwa Mh mbowe katoa kauli ya kumkaribisha Aliyekuwa waziri mkuu wa zamani Edward Lowada kujiunga na chama chetu pendwa chadema.
Awalli sikutaka kuamini na bado sijaamini kuhusu hizi fununu,na kama ni kweli, namtaka Mh Aikael Freeman mbowe atoe maelezo fasaha amemkaribisha lowasa aje kufanya nini? Sote tunamjua Lowasa na tuhuma nzito za kifisadi, tuna mfahamu vizuri Lowasa na kundi lake la mbwa mwizi linalomzunguka.
B inafsi simkatai lowasa kama binadamu bali napinga tabia yake ya uwizi rushwa, uroho na ubinafsi.
Natahadharisha kusema kuwa CHADEMA tunaipenda toka moyoni ndio maana hatutingishiki na sunami za ccm kwa kuwa tunaamini Chadema ni chama safi na chenye uhakika wa kutuletea mabadtiko chanya kwa taifa. Kwa nilivyoona kauli hizi ni dhahiri chama kinaenda kuanguka kwa kuwakatisha tamaa wananchi.
Lowasa ni nani ktk chadema, cjama kimeimarika vya kutosha nila uwepo wa lowasa, nini mnachotegemea kwa Lowasa kwa sasa, ccm imemuona hafai ikamtema wewe unamkaribisha bila hata aibu, unataka kutuaminisha kuwa nyie ni maswahaba? Kama ndivyo iweje ccm tuinyoshee mkono?
Mh Mbowe umetukera sana sinaamani kabisa hadi uje utupe ufafanuzi zaidi nini maana yake.
Umekerwa sio tumekerwa....
Ni vigumu kumpata Mhe Mbowe kwa jambo tete kama hili, namshauri asubiri matamko tu maana hawa hawaishi kutoa matamko yasiyotekelezeka!Poleni kwa kuruhusu chama chenu kichezewe na wachache!