Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,387
Rage alitoka jela kwa msamaha wa Rais kutokana na afya yake kutokuwa nzuri.
Ni kweli lakini hata alipotoka aliendelea na rufaa hadi akashinda hiyo rufaa.
Rage alitoka jela kwa msamaha wa Rais kutokana na afya yake kutokuwa nzuri.
we are no longer home of GT,mtu anajikurupukia tu.kwa nini asingeleta kama hoja watu wakamsaidia ufahamuRejea kesi ya mtemi Chenge pale kwa hakimu mkazi kinomdoni utaelewa mtu akilipa faini inamaanisha nini
Huwezi kuanza kutafuta sheria wakati huna/hufahamu kosa.Kwani ni kipi huja kabla? Sheria au kosa? Pasi na sheria hakuna kosa Mkuu.
Wataalamu wa sheria watusaidie kulifafanua hili. Sheria inamzuia mtu aliyetumikia kifungo, sijui hapa kwa mtu aliyelipa faini inakuwaje!
cc: Petro Mselewa
kumbuka kuwa CCM ni wabishi wa kuzaliwa na wameanza kuleta udini kwamba aliyetandikwa makofi ni mwakilishi wa BAKWATANafikiri kuna maelezo mazuri tu ya kisheria yametolewa kufafanua kuwa Mbowe hazuiliwi kugombea ubunge kisheria. Hayo ya Chenge unayaleta bila sababu kwa maana hayana msaada wowote kwenye muktadha huu. Hukumu yake na muda wa kuchaguliwa vinapishana zaidi ya mwaka. Chill tu Mbowe atagombea ubunge.
kumbuka kuwa CCM ni wabishi wa kuzaliwa na wameanza kuleta udini kwamba aliyetandikwa makofi ni mwakilishi wa BAKWATA
Sheria inasema akifungwa gerezani.
Yeye hajafungwa,so nadhani anaweza kugombea.
.Nakubali kukosolewa kwa hili
Hivi ww mbugila wapinzani wakifanya kosa basi ndy inakuwa mwimbo wa taifa.
nyie magamba chenge ali fanya nini?
ndomana mnachezewaga vichapo ila hamkomi
Ni kwamba Mbowe hajapoteza sifa za kugombea ubunge kwasababu hajatumikia kifungo. Soma tena hapo juu,ni mpaka utumikie kifungo kisichopungua miezi 6 ndiyo utapoteza hiyo sifa.
Sheria ya maadili ya viongozi wa Umma inasemaje?
wenzako wana quote vifungu vya sheria wewe unaleta maneno ya ajabuajabuMleta mada ww mbugila kweli
Chenge alihukumiwa kufungwa miaka mitatu au kutoa faini, na alitoa faini, hakupoteza ubunge.Jamani ee hata kutoa faini ni kutumikia adhabu, mbona mnajitoa akili!! au kwa kuwa limemgusa chairman wenu!! acheni kujidhalilisha kutetea ma criminal.
Mbunge wa Tabora Mh. Hadeni Ragembona alifungwa jela kabisa na kisha baada ya hapo akachaguliwa kuwa Mbunge
kwani Chnge alipotakiwa kufungwa au kulipa faini na akalipa faini alikosa sifa ya kugombea ubunge?
Kama ni hivyo ni heri pia kwa afya ya demokrasia, Mbowe ni kiongozi thabiti na kwakweli busara zake zimesaidia sana kudhibiti mihemuko ya vijana wake hasa katika bunge hili.
Sio kufungwa gerezani bali ni KUHUKUMIWA kufungwa gerezani kwa kipindi cha zaidi ya miezi sita. Haijalishi kama ataingia jela au la hata kama atalipa faini ya kiwango cha adhabu hiyo bado hana sifa. Kibaya zaidi hakukata rufaa bali amelipa faini fasta hilo ndio tatizo sasa.
Hata asipokata rufaa bado hakuna sheria za kumzuia kugombea kwa kosa la kumkata makofi mtendaji mpuuzi. Kosa hilo halijaainishwa na Katiba yetu kama kosa la kumnyima mtu uongozi maana halihusiani na makosa ya rushwa au maadili.
Au tuthibitishe kuwa kuna sheria kwa viongozi wa CCM tofauti na kwa wengine?Mbunge wa Bariadi Mashariki Mh. Andrew Chenge ambaye amewahi kushika nafasi mbalimbali za juu katika serikali ya Tanzania ikiwamo ya Mwanasheria Mkuu wa serikali, leo alipona kutupwa jela miaka mitatu baada ya kulipa faini ya sh 700,000 katika kesi yake kuendesha gari kwa uzembe na kusababisha vifo vya wanawake wawili.
Hakimu Mfawidhi Kwey Rusema wa Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni ametoa hukumu hiyo baada ya kuridhika na ushahidi na vielelezo vilivyoletwa mahakamani hapo.
Rusema alisema kutokana na ushahidi wa watu sita uliotolewa,mahakamani imemhuona na hatia ya makosa manne ambapo alimuhukumu kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini ya sh 700,000.
Akisoma hukumu hiyo Hakimu Rusema alisema kuwa,Mahakama imemkuta na katika makosa yote manne na kwa kosa la kwanza na la pili alitakiwa alipe faini ya sh 250,000 kwa kila kosa ambayo ni sawa na sh 500,000 au kwenda jela miaka miwili na katika shitaka la tatu na la nne alitakiwa kulipa faini ya sh 100,000 au kwenda jela mwaka mmoja.
Chenge alifikishwa mahakamani hapo akikabiliwa na mashitaka manne likiwemo la kuendesha gari kwa uzembe na kusababisha vifo vya wanawake waWili,uharibifu wa mali na kuendesha gari bila kuwa na bima.
Picha Na Habari Kwa Hisani Ya Michuzi
Muwe mnaomba msaada kwa fani ambazo siyo zenu.Sio kufungwa gerezani bali ni KUHUKUMIWA kufungwa gerezani kwa kipindi cha zaidi ya miezi sita. Haijalishi kama ataingia jela au la hata kama atalipa faini ya kiwango cha adhabu hiyo bado hana sifa. Kibaya zaidi hakukata rufaa bali amelipa faini fasta hilo ndio tatizo sasa.