Mbowe ameshakosa sifa ya ubunge mahakamani!

Mbowe ameshakosa sifa ya ubunge mahakamani!

Huu utitiri wa vyuo vinavyotoa wanasheria ni hasara, maamuzi ya mwenyekiti wa NEC unayaita kuwa case law? Case law inatokana na hukumu ya kimahakama siyo utashi wa jaji nje ya huduma ya mahakama..! waweza kunikosoa.

Issue ya Mbowe, iwapo atagombea ubunge na kupingwa, atatumia case ya Mtikila kujitetea na atapitishwa. Hilo ndilo ninalomaanisha. Call it anyway
 
Back
Top Bottom