Mbowe ameathirika na " Hofu" baada ya kijana wake kupambana na Corona lakini CHADEMA ni kubwa kuliko familia

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,961
141,957
Binafsi nakubaliana kabisa na wabunge wa CHADEMA kujiweka katika karantini kwa sababu hiyo ni haki yao ya kikatiba ya kulinda uhai.

Kilichonishangaza kidogo ni namna Chadema inavyofanya maamuzi bila vikao rasmi vya kikatiba kuketi.
Kwa mfano wabunge wa chama kutoingia bungeni ni muhimu wakapata baraka za kamati kuu na siyo swala la kuamliwa na wabunge pekee au Freeman na Bulaya pekee.

Wote tunajua KUB Mbowe ametoka katika mazingira magumu ya kupambana na Corona kifamilia hivyo bado ametawaliwa na Hofu hivyo anaweza kujikuta anafanya maamuzi ya kufikirika zaidi na si si halisi.

Nashauri kamati kuu ya Chadema ikutane haraka kukinusuru chama wabunge ni wawakilishi wa wananchi siyo Chama cha siasa.

Maendeleo hayana vyama!
 
Unateseka sana bwashee, huyo shujaa jemedari asiyeogopa yuko wapi.?

Waliobaki mjengoni ni vile tu hawana cha kufanya, kesho mzee akiamuru bunge liahirishwe utakuja mbio hapa kubwabwaja na kusifia.

Mnamchosha huyo malaika mkuu, kichwa kimoja kuangazia kila kitu ni wazi anateseka... ila kwa vile aliyataka acha ayanywe tu.

Utupolo.
 
Hapa ndio uoumbavu ulipo vijana hatujui kujenga hoja kabisa yani.

Kama ccm wanakula mavi basi utasikia mbona chadema wanakula mataputapu.



Sent using Jamii Forums mobile app

..wakati mwingine inabidi "tujishushe."

..unafikiri bila "kujishusha" utaweza kueleweka kwa wana-ccm, kuanzia mwenyekiti wao, mpaka walio chini kabisa?

..kwa mfano, bwana mkubwa anaamini yuko sahihi kuondoka Ikulu na kuongoza nchi toka kijijini kwake. Sasa mtu wa namna hiyo utajadiliane naye vipi? Utamuelewesha vipi? Na waimba mapambio wake utaelewana nao vipi?
 
Binafsi nakubaliana kabisa na wabunge wa CHADEMA kujiweka katika karantini kwa sababu hiyo ni haki yao ya kikatiba ya kulinda uhai.

Kilichonishangaza kidogo ni namna Chadema inavyofanya maamuzi bila vikao rasmi vya kikatiba kuketi.
Kwa mfano wabunge wa chama kutoingia bungeni ni muhimu wakapata baraka za kamati kuu na siyo swala la kuamliwa na wabunge pekee au Freeman na Bulaya pekee.

Wote tunajua KUB Mbowe ametoka katika mazingira magumu ya kupambana na Corona kifamilia hivyo bado ametawaliwa na Hofu hivyo anaweza kujikuta anafanya maamuzi ya kufikirika zaidi na si si halisi.

Nashauri kamati kuu ya Chadema ikutane haraka kukinusuru chama wabunge ni wawakilishi wa wananchi siyo Chama cha siasa.

Maendeleo hayana vyama!
Chama imara hakuna haja ya kukinusuru
 
Back
Top Bottom