Mbowe akatisha ziara ya kikazi ili kuwahi Mazishi ya Sabodo, anayezikwa leo usiku

Taarifa ya dharula ya Chadema iliyosambazwa mitandaoni inaeleza kwamba , Mwenyekiti wa Chama hicho amelazimika kukatisha ziara ya kichama ili kuwahi mazishi ya Bilionea mwenzake Sabodo


Sabodo aliyefariki Alfajiri ya kuamka leo atazikwa leo saa 4 usiku kwenye Makaburi ya Kisutu

View attachment 2942675

INNALILLAH WAINNALILLAH RAAJUUN
Mzee wa watu alitoa pesa zichimbe visima ili apate thawabu zake lakini zililiwa bure ufipa hakuna hata kisima kimoja!
 
Taarifa ya dharula ya Chadema iliyosambazwa mitandaoni inaeleza kwamba , Mwenyekiti wa Chama hicho amelazimika kukatisha ziara ya kichama ili kuwahi mazishi ya Bilionea mwenzake Sabodo


Sabodo aliyefariki Alfajiri ya kuamka leo atazikwa leo saa 4 usiku kwenye Makaburi ya Kisutu

View attachment 2942675

INNALILLAH WAINNALILLAH RAAJUUN
Tofauti ni kwamba billionaire mbowe anadhulumu wanyonge huku sabodo akisaidia wanyonge
 
RIP Kamanda mzalendo Mustafa Rajabali Jaffer a.k.a Sabodo alionesha mchango wake kwa vitendo ktk maendeleo ya watu sera yetu ya CHADEMA


View: https://m.youtube.com/watch?v=bzmy2dXAMcM

bilionea kamanda Mustafa Jaffer Sabodo alizaliwa Lindi, Tanzania kwa wazazi wenye asili ya Kihindi. Yeye ni mwanauchumi, mshauri katika masuala ya fedha ya kimataifa ya madeni, na mfanyabiashara. Ana maslahi ya kibiashara nchini India, Ufaransa, Kenya, Sudan, Nigeria, na Zimbabwe.
View attachment 2942734
Makala ktk jarida ikizungumzia ukwasi wa Mzee Sabodo.

Picha hapo chini, Bilionea Sabodo akiwa na m-Mwera mwenzie kutoka Lindi, mheshimiwa Kassim Majaliwa. Bilionea Mustafa Rajabali Jaffer Sabodo hakusahau nyumbani Lindi na alijitolea misaada ya kijamii kfk miradi ya visima vya maji, elimu n.k
View attachment 2942727

Dah! Dunia hii bhana! Unakufa unaacha mahela. Pumzika kwa amani sabodo
Hivi hiyo ziara ya kikazi ni hizi siasa au anazo kazi nyingine huyu mzee Mbowe?
 
Yaani siku hizi Bongo fedha inathaminiwa kuliko wasifu wa binadamu. Ina maana gani kuwa lazima kutaja yeye ni bilionea kabla ya jina lake? Tulivumilia u-Dokta, sasa hii basi ni ujinga. Kwanza unajuaje yeye ni bilionea? Watanzania acheni mambo ya kishamba shamba ya kuabudu pesa! Yaani kama si bilionea ingepunguza nini ktika kuwa amefariki?
 
Eti mbowe ni Bilionaire ambae alikuwa anaishi nyumba ya wazazi hadi mwaka jana
Aliyeta habari hana tofauti na Mwashambwa wa CCM inapokuja habari ya mwenyekiti wake wa maisha, mheshimiwa sana Dj Mbowe. kule Malawi Banda alikuwa raisi wa maisha walimwita President wa muyaya, huko kwenye SACCOS ya Kaskazini nako kuna Chairman wa muyaya..
 
Yaani siku hizi Bongo fedha inathaminiwa kuliko wasifu wa binadamu. Ina maana gani kuwa lazima kutaja yeye ni bilionea kabla ya jina lake? Tulivumilia u-Dokta, sasa hii basi ni ujinga. Kwanza unajuaje yeye ni bilionea? Watanzania acheni mambo ya kishamba shamba ya kuabudu pesa! Yaani kama si bilionea ingepunguza nini ktika kuwa amefariki?
Huyo ndio Mwashambwa wa Chadema
 
Huyo ndio Mwashambwa wa Chadema
Uongo hautakusaidia kitu , mtu mwenye miezi 2 jf kumfananisha na mkongwe wa zaidi ya miaka 10 ni uchawi wa mchana , Hebu sema ukweli , wakati namstaafisha siasa bosi wako Mwakyembe Kyela huyo mamluki wenu mwashambwa alikuwa kishazaliwa ? wewe unajua kila kitu labda ujitoe akili
 
Miaka mingi zaidi ya kumi CDM walipewa milioni 100 mpaka leo haijulikani ziko wapi.
Jamaa mpaka ametutoka bila kujua matumizi ya pesa yake aliyotoa kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya makao makuu yachama.
Chadema mna dhambi nyie, mhhhh!
Rip Sabodo
 
Million 100 imekuuma kama Yako
Ni ya Umma, wakipewa CDM kwa lengo la kuimarisha Chama au kuboresha chochote cha chama hiyo ni yetu sote! tuna Kiongozi, wala usisononeke kwa mtu kuhoji Ilipo hiyo pesa! kama imemlipa Mtu labda alikikopesha Chama Tujue...!
 
Back
Top Bottom