kamjabari
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 1,132
- 1,640
HinduKwanini azikwe usiku?
HinduKwanini azikwe usiku?
Mzee wa watu alitoa pesa zichimbe visima ili apate thawabu zake lakini zililiwa bure ufipa hakuna hata kisima kimoja!Taarifa ya dharula ya Chadema iliyosambazwa mitandaoni inaeleza kwamba , Mwenyekiti wa Chama hicho amelazimika kukatisha ziara ya kichama ili kuwahi mazishi ya Bilionea mwenzake Sabodo
Sabodo aliyefariki Alfajiri ya kuamka leo atazikwa leo saa 4 usiku kwenye Makaburi ya Kisutu
View attachment 2942675
INNALILLAH WAINNALILLAH RAAJUUN
Mfungo wa mwezi mtukufu kuwapa nafasi wengi wao kuhudhuria!Kwanini azikwe usiku?
Tofauti ni kwamba billionaire mbowe anadhulumu wanyonge huku sabodo akisaidia wanyongeTaarifa ya dharula ya Chadema iliyosambazwa mitandaoni inaeleza kwamba , Mwenyekiti wa Chama hicho amelazimika kukatisha ziara ya kichama ili kuwahi mazishi ya Bilionea mwenzake Sabodo
Sabodo aliyefariki Alfajiri ya kuamka leo atazikwa leo saa 4 usiku kwenye Makaburi ya Kisutu
View attachment 2942675
INNALILLAH WAINNALILLAH RAAJUUN
RIP Kamanda mzalendo Mustafa Rajabali Jaffer a.k.a Sabodo alionesha mchango wake kwa vitendo ktk maendeleo ya watu sera yetu ya CHADEMA
View: https://m.youtube.com/watch?v=bzmy2dXAMcM
bilionea kamanda Mustafa Jaffer Sabodo alizaliwa Lindi, Tanzania kwa wazazi wenye asili ya Kihindi. Yeye ni mwanauchumi, mshauri katika masuala ya fedha ya kimataifa ya madeni, na mfanyabiashara. Ana maslahi ya kibiashara nchini India, Ufaransa, Kenya, Sudan, Nigeria, na Zimbabwe.
View attachment 2942734
Makala ktk jarida ikizungumzia ukwasi wa Mzee Sabodo.
Picha hapo chini, Bilionea Sabodo akiwa na m-Mwera mwenzie kutoka Lindi, mheshimiwa Kassim Majaliwa. Bilionea Mustafa Rajabali Jaffer Sabodo hakusahau nyumbani Lindi na alijitolea misaada ya kijamii kfk miradi ya visima vya maji, elimu n.k
View attachment 2942727
Hivi hiyo ziara ya kikazi ni hizi siasa au anazo kazi nyingine huyu mzee Mbowe?Dah! Dunia hii bhana! Unakufa unaacha mahela. Pumzika kwa amani sabodo
Kama hajui wanyama ni bilionea ila mpaka leo anaishi kwa mamaakeEti mbowe ni Bilionaire ambae alikuwa anaishi nyumba ya wazazi hadi mwaka jana
Swali lako ni la kijingaHivi hiyo ziara ya kikazi ni hizi siasa au anazo kazi nyingine huyu mzee Mbowe?
Siyo hindu ni muislamu, hindu hawaziki wanachoma kijitonyamaHindu
Aliyeta habari hana tofauti na Mwashambwa wa CCM inapokuja habari ya mwenyekiti wake wa maisha, mheshimiwa sana Dj Mbowe. kule Malawi Banda alikuwa raisi wa maisha walimwita President wa muyaya, huko kwenye SACCOS ya Kaskazini nako kuna Chairman wa muyaya..Eti mbowe ni Bilionaire ambae alikuwa anaishi nyumba ya wazazi hadi mwaka jana
Huyo ndio Mwashambwa wa ChademaYaani siku hizi Bongo fedha inathaminiwa kuliko wasifu wa binadamu. Ina maana gani kuwa lazima kutaja yeye ni bilionea kabla ya jina lake? Tulivumilia u-Dokta, sasa hii basi ni ujinga. Kwanza unajuaje yeye ni bilionea? Watanzania acheni mambo ya kishamba shamba ya kuabudu pesa! Yaani kama si bilionea ingepunguza nini ktika kuwa amefariki?
Uongo hautakusaidia kitu , mtu mwenye miezi 2 jf kumfananisha na mkongwe wa zaidi ya miaka 10 ni uchawi wa mchana , Hebu sema ukweli , wakati namstaafisha siasa bosi wako Mwakyembe Kyela huyo mamluki wenu mwashambwa alikuwa kishazaliwa ? wewe unajua kila kitu labda ujitoe akiliHuyo ndio Mwashambwa wa Chadema
Jamaa mpaka ametutoka bila kujua matumizi ya pesa yake aliyotoa kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya makao makuu yachama.Miaka mingi zaidi ya kumi CDM walipewa milioni 100 mpaka leo haijulikani ziko wapi.
Kwani Wenye mishahara Yao wakati wa kukanusha wamesema ni sh. Ngapi wanalamba Kwa sasa?Ameshakiri kwamba alitudanganya kuhusu mishahara ya wabunge?? Au hana haya
MchawiKwanini azikwe usiku?
Pole nduguSwali lako ni la kijinga
Kumbe ndio maana wakazi wa kijitonyama wengi akili haziko sawa kumbe ni eneo la kuchomea wahindiSiyo hindu ni muislamu, hindu hawaziki wanachoma kijitonyama
Ni ya Umma, wakipewa CDM kwa lengo la kuimarisha Chama au kuboresha chochote cha chama hiyo ni yetu sote! tuna Kiongozi, wala usisononeke kwa mtu kuhoji Ilipo hiyo pesa! kama imemlipa Mtu labda alikikopesha Chama Tujue...!Million 100 imekuuma kama Yako
Mwanaume unaongelea mil.100 mwaka 2024?Miaka mingi zaidi ya kumi CDM walipewa milioni 100 mpaka leo haijulikani ziko wapi.
View attachment 2942702View attachment 2942704
Kasome kanushoKwani Wenye mishahara Yao wakati wa kukanusha wamesema ni sh. Ngapi wanalamba Kwa sasa?