Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

Ndugu yangu freeman aikael mbowe nakuuliza seal hili ili nipate kujua kama we we ni mwanasiasa au ni mwanasiabiashara kwa maana napata shaka hasa kichwani mwako unalitakia nin taifa hili.
Hii tabia yako ya kuuza uza nadhani ingeishia pale billcanas kwenye kuuza pombe tu na sio chama cha chadema.
Hao wafanyabiashara watano tunaomba utuelezee watazirudishaje fedha zao kama sio kuwaumiza watanzania kwa mikataba uchwara.???
Unaonekana una tamaa ,uroho wa madaraka na fedha kiasi kwamba umekua mrahisi wa kuvunja imani,itikadi, na msimamo wa chadema mbele ya pesa za mafisadi uliotumia miaka 8 kuwachafua.
Wewe ni mtu namna gani haufai kua kiongozi wa watu hata kidogo .

Lowassa lazima nikupigie kura ingawa mimi ni mwanaccm
 
Sisi wa Chadema asilia tutakachofanya baada ya uchaguzi mkuu ni haya;
1) tutafukuza mafisadi na majizi yaliyotoka ccm yarudi hukohuko. Hatuyataki tena kwa sababu yamekuja kuua upinzani
2) tutawataka makamanda waliowakaribisha mafisadi wote wajipime na wakae pembeni. Hiyo ni lazima. Na sio pembeni tuu hata pia tusiwaone maofisini kwetu. Tutakwenda funga makufuli pale ofisini.
3) tutawataka viongozi makamanda watuambie ni hela ngapi walihongwa ili kupokea wageni hao. Kwa sababu tunajua haiwezi kuwa burebure
4) tutataka kujua sasa mapato na matumizi ya fedha za wananchi. Kwa sababu tumeshaona ufisadi upi sana ndani ya chama chetu.
5) hapo sasa tutawaita Dr Slaa na Prof Lipumba waje wabebe na kuibua jahazi lililozama.
6) tutawataka viongozi wa vyama vingine warudi kwenye vyama vyama vyao vinavyokufakufa wasije wakatulaumu tumechangia kuua vyama vyao. Kwa sababu kiukweli vyama hivi Mbowe ameshaviua kabisa hatujui vitaibukaje tena. Wananchi wamepoteza matumaini kabisaaa. Kwa mtaji huu ukiunganisha na wenzetu kwa maslahi mapana ya mama Tanzania tutaweza kufungua mahakama ya mafisadi haraka ili tuwakamate tuanze nao hao. ni hayo kwa ufupi
 
Kiukweli kamanda Mbowe na kundi lako mmetutia aibuu sana na haitafutika machoni mwetu. Kila kona tukipita tunaitwa wapiga dili. Hivi kweli chadema tumekuwa hivi leo,???? Sababu ya uroho wa pesa na maslahi binafsi tuu.??? Ni lazima tulipuze hapa hapa duniani for real
 
Sisi wa Chadema asilia tutakachofanya baada ya uchaguzi mkuu ni haya;
1) tutafukuza mafisadi na majizi yaliyotoka ccm yarudi hukohuko. Hatuyataki tena kwa sababu yamekuja kuua upinzani
2) tutawataka makamanda waliowakaribisha mafisadi wote wajipime na wakae pembeni. Hiyo ni lazima. Na sio pembeni tuu hata pia tusiwaone maofisini kwetu. Tutakwenda funga makufuli pale ofisini.
3) tutawataka viongozi makamanda watuambie ni hela ngapi walihongwa ili kupokea wageni hao. Kwa sababu tunajua haiwezi kuwa burebure
4) tutataka kujua sasa mapato na matumizi ya fedha za wananchi. Kwa sababu tumeshaona ufisadi upi sana ndani ya chama chetu.
5) hapo sasa tutawaita Dr Slaa na Prof Lipumba waje wabebe na kuibua jahazi lililozama.
6) tutawataka viongozi wa vyama vingine warudi kwenye vyama vyama vyao vinavyokufakufa wasije wakatulaumu tumechangia kuua vyama vyao. Kwa sababu kiukweli vyama hivi Mbowe ameshaviua kabisa hatujui vitaibukaje tena. Wananchi wamepoteza matumaini kabisaaa. Kwa mtaji huu ukiunganisha na wenzetu kwa maslahi mapana ya mama Tanzania tutaweza kufungua mahakama ya mafisadi haraka ili tuwakamate tuanze nao hao. ni hayo kwa ufupi

Kuna CHADEMA 1 tu ambayo mwenyekiti wake ni Mbowe, kama hauridhiki ni busara ukaanzisha chama chako kitakachokidhi matakwa yako. Umlete Dr. Slaa wapi wakati ameshasema anasfaafu siasa?
 
Mikataba ya gesi na madini inayoliingizia taifa hasara hujaiona unaiona ya mbowe kuingia na matajiri tena wa bongo wenzake we wa wapi dude
 
Mbowe ni tapeli sema kajificha kwa mwavuli wa siasa

Wakati wa uchaguzi ndo wakati wa faida ya chama. Mtei hakutegemea hili. Sasa isha pata bilioni zake waliobakia hangaikeni ila

Ndele likikubali basi mhanga huwa hajitambui. Lakini na ndele zote alizofundishwa na bwana mahaba kutoka zanzibar, Roho Mtakatifu anaendelea kuzitibua akibadilisha uteka siku baada ya siku. Kwa wasiojua; ndele ni dawa ya mahaba wanayoitumia waganga ili mtu kuvutika kwa mtu mwingine bila utashi wake. inaweza kupulizwa hewani au kupakawa kwenye kitu chochote na mhanga akikumbana nacho ndo anakuwa ktkt mahaba mazito. hatambui wala hasikii. Hilo sisi wacha Yahu tunalishughulikia Ni uchawi m-baya sana. Haleluyahu
 
Ndugu yangu freeman aikael mbowe nakuuliza seal hili ili nipate kujua kama we we ni mwanasiasa au ni mwanasiabiashara kwa maana napata shaka hasa kichwani mwako unalitakia nin taifa hili.
Hii tabia yako ya kuuza uza nadhani ingeishia pale billcanas kwenye kuuza pombe tu na sio chama cha chadema.
Hao wafanyabiashara watano tunaomba utuelezee watazirudishaje fedha zao kama sio kuwaumiza watanzania kwa mikataba uchwara.???
Unaonekana una tamaa ,uroho wa madaraka na fedha kiasi kwamba umekua mrahisi wa kuvunja imani,itikadi, na msimamo wa chadema mbele ya pesa za mafisadi uliotumia miaka 8 kuwachafua.
Wewe ni mtu namna gani haufai kua kiongozi wa watu hata kidogo .

SEAL hili?
 
mikataba inayotuumiza kuanzia kwenye madini,:mad2: mbuga za wanyama na uindaji haramu,mikataba ya gesi tayari imekwishasainiwa na serikali ya ccm. hivyo sioni kama kuna haja ya wewe mwanaccm kuwa na hofu juu ya kutuumiza watanzania kwani mlishatuumiza vya kutosha.
 
Wakati wa uchaguzi ndo wakati wa faida ya chama. Mtei hakutegemea hili. Sasa isha pata bilioni zake waliobakia hangaikeni ila

Ndele likikubali basi mhanga huwa hajitambui. Lakini na ndele zote alizofundishwa na bwana mahaba kutoka zanzibar, Roho Mtakatifu anaendelea kuzitibua akibadilisha uteka siku baada ya siku. Kwa wasiojua; ndele ni dawa ya mahaba wanayoitumia waganga ili mtu kuvutika kwa mtu mwingine bila utashi wake. inaweza kupulizwa hewani au kupakawa kwenye kitu chochote na mhanga akikumbana nacho ndo anakuwa ktkt mahaba mazito. hatambui wala hasikii. Hilo sisi wacha Yahu tunalishughulikia Ni uchawi m-baya sana. Haleluyahu

kuwa open tu mkuu... ,sema Limbwata la kishetani, limewavaa kama dila.
hayo mahaba ya ki-satanists mbona yana mwisho wake kaka......
halafu yakiisha eksipaya, kifuatacho ni balaa juu ya balaa, usiombe
we mpeleke bhabha Ngosha ikulu.
 
Kiukweli kamanda Mbowe na kundi lako mmetutia aibuu sana na haitafutika machoni mwetu. Kila kona tukipita tunaitwa wapiga dili. Hivi kweli chadema tumekuwa hivi leo,???? Sababu ya uroho wa pesa na maslahi binafsi tuu.??? Ni lazima tulipuze hapa hapa duniani for real
We mpuuz gamba acha kujifanya cdm kenge wee
 
Kwanini magazeti ya IPP MEDIA na HABARI CORPORATION wanashabikia kwa nguvu zote kampeni za Lowassa? Ukisha pata jibu la swali hili. Jiulize swali linguine tena, ni nani mumiliki wa IPP media na Habari Corporation? Ukisha pata jibu, atajua kabisa kwanini Mbowe mfanyabiashira anaejiita Mwanasiasa na mpigania haki za wanyonge aliiuza CHADEMA kwa Lowassa. Hawa wakikabiziwa nchi hawatakuwa tena wamiliki wa hisa bali matajiri na wafanyabiashara wakubwa wanao miliki makampuni ya mafuta na gesi na haitachukuwa muda mtaanza kuwaona akina Lowassa na Rostam kwenye orodha ya matajiri wakubwa wa dunia hii za forbes.
 
Ndugu yangu Freeman Aikael Mbowe nakuuliza seal hili ili nipate kujua kama wewe ni mwanasiasa au ni mwanasiabiashara kwa maana napata shaka hasa kichwani mwako unalitakia nin taifa hili.

Hii tabia yako ya kuuza uza nadhani ingeishia pale billcanas kwenye kuuza pombe tu na sio chama cha CHADEMA.

Hao wafanyabiashara watano tunaomba utuelezee watazirudishaje fedha zao kama sio kuwaumiza watanzania kwa mikataba uchwara.?

Unaonekana una tamaa ,uroho wa madaraka na fedha kiasi kwamba umekua mrahisi wa kuvunja imani, itikadi, na msimamo wa CHADEMA mbele ya pesa za mafisadi uliotumia miaka 8 kuwachafua.

Wewe ni mtu namna gani haufai kua kiongozi wa watu hata kidogo .
Akili za ki Eyakuze hizi
 
Kuna CHADEMA 1 tu ambayo mwenyekiti wake ni Mbowe, kama hauridhiki ni busara ukaanzisha chama chako kitakachokidhi matakwa yako. Umlete Dr. Slaa wapi wakati ameshasema anasfaafu siasa?
Kustaafu siasa haina maana hatazungumzia kabisa masuala yanayohusu taifa kwa maslahi ya taifa. Na hata hivyo wananchi wakimhitaji kwa dhati kabisa anaweza kuendelea kuwatumikia. Siasa ina kustaafu??? Wapo kina Kingunge mpaka leo na miaka karibu 100 na wanashughulika na siasa. Kifo ndio humtenganisha mtu na siasa. Kwa sababu siasa ndio maisha yabkila siku
 
He! KWa hiyo Lowassa nae katapeliwa...maana chama kitakuwa kimeuzwa zaidi ya mara moja...
Teh teh...
 
Kustaafu siasa haina maana hatazungumzia kabisa masuala yanayohusu taifa kwa maslahi ya taifa. Na hata hivyo wananchi wakimhitaji kwa dhati kabisa anaweza kuendelea kuwatumikia. Siasa ina kustaafu??? Wapo kina Kingunge mpaka leo na miaka karibu 100 na wanashughulika na siasa. Kifo ndio humtenganisha mtu na siasa. Kwa sababu siasa ndio maisha yabkila siku

Kingunge alishatangaza kustaafu siasa? Naongelea Slaa ambae ametangaza yeye mwenyewe kwamba anaacha kujishughulisha na siasa kupitia CHADEMA....

Suluhu rahisi niliyokushauri ni hiyo ya wewe kuanzisha chama kama hamkubaliani na yanayoendelea CHADEMA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom