josephine001
Member
- Aug 20, 2015
- 31
- 3
wameshapiga dili hao.
Ni maneno tuu hayo ya lumumba hata kwny kanga hapo mkuu
We umeingia kichwa kichwa humu. Hebu tulia rudi usome tokea mwanzo post hii ni ya 2011. Soma chama kilivyouzwa. Acha kushabikia kitu huelewi. Lowassa kawatuliza kwa pesa, wenzako wameshavuta mabilioni we hujapata senti hata tano unashabikia viva viva! Ngoja uchaguzi upite uone wenzako wanatimukia London na Dubai, wewe utabaki na umaskini wako.
Amka kijana!
Hongera kwa S4!Ila kwasasa tunatumia S6.
Nyingine zote mbwembwe ila Kama Alivyohama Lowassa na wengine tumehama hivyohivyo kumfata Magufuri.
Sina imani na CCM ila ninaimani na Magufuri na ni heri ya Magu kuliko Lowassa papa
Halafu pamoja na Uzee wako lakini umeshindwa kujenga hoja!Report za Serikali sio ya Richmond tu rudi tena maktaba ukasome
Ni maneno tuu hayo ya lumumba hata kwny kanga hapo mkuu
Kwan ukichagua ccm ndo hautobaki na umaskini wako
Hata ukawa wakiweka jiwe ntalipigia kura
Hivi mkuu, wapi nimesema chagua CCM? Mi siko huko na sikuandika kuhusu uchaguzi. Tunazungumzia biashara ya Mbowe kumwuzia Lowassa chama. Hii iliandikwa 2011 hatukumwamini sasa biashara imekamilika. Hivi mbona siku hizi Mbowe haonekani tena? Wala kuongea haongei?
Mkuu kama bado unashabikia chama hiki ujue hakuna chana tena. Wapowapo tu wanasubiri Oktoba wasambaratike!
Hata kama imekaa kiuzushi, ila CDM ni wapigaji tu, wamekaa kibiashara sana viongozi wakeImekaa kiuzushi,:angry: na jua jamaa ana usongo na mafisadi. Sijui lakini, bongo kuna mengi
:noidea: wht you are talking!!!
Hivi bado tu watu wana bishana na manunuzi ya hicho chama....daah. soo sad yaani...basi subirini tu october matokeo yakitoka. #hapakazitu
Ninavyofahamau mtu anaponunua kitu huwa anataka faida nacho, aidha kwa matumizi ya kawaida au kwa ajili ya biashara, sasa walioinunua CDM wanataka kuifanyia nini