Mwl. Ambogo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2014
- 201
- 84
Hivi mkuu, wapi nimesema chagua CCM? Mi siko huko na sikuandika kuhusu uchaguzi. Tunazungumzia biashara ya Mbowe kumwuzia Lowassa chama. Hii iliandikwa 2011 hatukumwamini sasa biashara imekamilika. Hivi mbona siku hizi Mbowe haonekani tena? Wala kuongea haongei?
Mkuu kama bado unashabikia chama hiki ujue hakuna chana tena. Wapowapo tu wanasubiri Oktoba wasambaratike!
We kakwambia nani kuwa watasambaratika