Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

Ila katika uuzaji wa Chama akishindwa kuuza wanachama wote na taratibu Chadema Asilia inaanza kudhihirika. Hawa hutawaona jukwaa mmoja na Chadema Lowassa. Daraja ya makundi haya mawili ni akina Mbowe yaani Chadema maslahi.

Tafuta cha kufanya wananchi mnaotuita wapumbavu, tumeshapata welevu hamuwezi kutudanganya tena ikiwa tumeuzwa bora hatujauzwa kwa chama cha wakwere.
 
Nyie nao wamiliki Wa jf taarifa zinazohusu ukawa kama hii ya mbowe ina zaidi ya wiki mbili sasa humu lakini zinazohusu ccm haikai acheni upendeleo ,tunajua nyie ni makada Wa ccm na wanazi lakini muwe fair
 
Tafuta cha kufanya wananchi mnaotuita wapumbavu, tumeshapata welevu hamuwezi kutudanganya tena ikiwa tumeuzwa bora hatujauzwa kwa chama cha wakwere.

Matusi hayatukasaidia kabisa. Wewe kama ni mwerevu na unaamini haujanunuliwa we na chama chako basi pita tu. Mbona unaonekana kuongea kwa mihemko. Unaoogopa kusikia ukweli?
Ukweli ni kuwa Mbowe alishauza chama na alianza kidogokidogo mpaka dili limekamilika mwaka huu.
Mwenye macho haambiwi tazama.
 
Nyie nao wamiliki Wa jf taarifa zinazohusu ukawa kama hii ya mbowe ina zaidi ya wiki mbili sasa humu lakini zinazohusu ccm haikai acheni upendeleo ,tunajua nyie ni makada Wa ccm na wanazi lakini muwe fair

Mkuu hebu cheki vizuri naona unabwabwaja. Taarifa hii ni ya 2011. So ipo kwa muda na ndiyo ujue wamiliki wa JF wako makini. Wengine tuko nao miaka mingi na JF ilipoitwa Home of Great Thinkers tulikuwepo. Kama hupendi anzisha thread yenye mashiko.
 
Matusi hayatukasaidia kabisa. Wewe kama ni mwerevu na unaamini haujanunuliwa we na chama chako basi pita tu. Mbona unaonekana kuongea kwa mihemko. Unaoogopa kusikia ukweli?
Ukweli ni kuwa Mbowe alishauza chama na alianza kidogokidogo mpaka dili limekamilika mwaka huu.
Mwenye macho haambiwi tazama.

Wewe ndiwe mwenye mihemko.
Maana unasema matusi wakati mimi sija mtusi mtu ila waliotuita wapumbavu mulisema siyo tusi.
Nasi tumekubali sasa woga wenu nini kama chama kimeuzwa na tuliouzwa tumekubali tatizo lako nini?
Wewe unaonekana umenunuliwa na wewe.
Jaziba ya nini? waliotuibia miaka yote ndiyo waliopewa dhamana ya kupepelusha bendela ya CCM kwa mfano Chenge, Prof. Tibaijuka, Mwambalaswa, Ngeleja, Prof. Mugongo na wengine wengi wamekili kihusika na wizi wa 302Bilioni tsh.
Hao hawajakinua chama chako?
Au wewe ni kibaraka wao?
 
Anapaswa kuenguliwa hata jimboni kwake maana hana sifa za kuwa kiongozi.
 
Nyie nao wamiliki Wa jf taarifa zinazohusu ukawa kama hii ya mbowe ina zaidi ya wiki mbili sasa humu lakini zinazohusu ccm haikai acheni upendeleo ,tunajua nyie ni makada Wa ccm na wanazi lakini muwe fair

Sio ya wiki mbili ni zaidi ya miaka 4
 
Wewe ndiwe mwenye mihemko.
Maana unasema matusi wakati mimi sija mtusi mtu ila waliotuita wapumbavu mulisema siyo tusi.
Nasi tumekubali sasa woga wenu nini kama chama kimeuzwa na tuliouzwa tumekubali tatizo lako nini?
Wewe unaonekana umenunuliwa na wewe.
Jaziba ya nini? waliotuibia miaka yote ndiyo waliopewa dhamana ya kupepelusha bendela ya CCM kwa mfano Chenge, Prof. Tibaijuka, Mwambalaswa, Ngeleja, Prof. Mugongo na wengine wengi wamekili kihusika na wizi wa 302Bilioni tsh.
Hao hawajakinua chama chako?
Au wewe ni kibaraka wao?

Hivi wizi wa Lowassa unaojua vizuri kuanzia kujiuza ardhi nyingi na dili zake chafu katika Telecom?
Ulimwona Dr Slaa mwehu alipomweka katika List of Shame?
Unapowaongelea hao akina Chenge hakuna anayeafiki ila hatutaweza kuwapigia kura kama hatuko katika jimbo husika. Ila kwa urais tuna haki. Na kwa mujibu wa katiba hii ya 1977 anapata nguvu ya ajabu hatuwezi kumpa fisadi.
Utatukana eti kununuliwa bahati yako mbaya some of us hatuna bei kama wewe ulivyokiri kuwa mmekubali kuuzwa kwa Lowassa na mwenyekiti wenu Mbowe. Mmeshindwa kusimama na kumtetea mpambaji kama Dr Slaa na kumruhusu fisadi papa agombee kwa shinikizo la Mbowe ambaye keshatajirika.
End of the day mkishavuja jasho na kukosa kura mwenzenu Mbowe keshapata chake na nyumba anayo Dubai na mkopo ndo amemaliza kuulipa na pesa za Lowassa. We maisha yako hayatabadilika.
Lowassa baada ya uchaguzi ameshapanga akapumzike nyumba yake ya London au Singapore. Again mtabaki mliyouzwa bila faida yoyote.
Uzuri JamiiForums inatunza kumbukumbu vizuri na tutarudia topic. Usije na hadithi tofauti kuwa hukuwahi kumsapoti Lowassa au kuwa hukukubalika kununuliwa.
 
Hii dhambi ya kuuza chama itamtafuna sana Mbowe

Ikiwa kuna ushahidi basi tuwekee hapa alipewa wapi na picha ziko wapi zinazoonyesha au wekeni story hazarani badala ya kutudanganya tu sisi, ooh mumenunuliwa ooh chama cha wachaga ooh Dr. Mkatoliki kwa hiyo ni cha kikristo.
Jaribuni kujenga hoja kama mama Tibaijuka alivyoweza kujenga hoja kuwa zile ni pesa za mboga tu.
 
Hivi wizi wa Lowassa unaojua vizuri kuanzia kujiuza ardhi nyingi na dili zake chafu katika Telecom?
Ulimwona Dr Slaa mwehu alipomweka katika List of Shame?
Unapowaongelea hao akina Chenge hakuna anayeafiki ila hatutaweza kuwapigia kura kama hatuko katika jimbo husika. Ila kwa urais tuna haki. Na kwa mujibu wa katiba hii ya 1977 anapata nguvu ya ajabu hatuwezi kumpa fisadi.
Utatukana eti kununuliwa bahati yako mbaya some of us hatuna bei kama wewe ulivyokiri kuwa mmekubali kuuzwa kwa Lowassa na mwenyekiti wenu Mbowe. Mmeshindwa kusimama na kumtetea mpambaji kama Dr Slaa na kumruhusu fisadi papa agombee kwa shinikizo la Mbowe ambaye keshatajirika.
End of the day mkishavuja jasho na kukosa kura mwenzenu Mbowe keshapata chake na nyumba anayo Dubai na mkopo ndo amemaliza kuulipa na pesa za Lowassa. We maisha yako hayatabadilika.
Lowassa baada ya uchaguzi ameshapanga akapumzike nyumba yake ya London au Singapore. Again mtabaki mliyouzwa bila faida yoyote.
Uzuri JamiiForums inatunza kumbukumbu vizuri na tutarudia topic. Usije na hadithi tofauti kuwa hukuwahi kumsapoti Lowassa au kuwa hukukubalika kununuliwa.

Sasa wewe mbona unashindwa kusimama kidete na kuwakataa mafisadi hao unabaki kusema hatuta wapigia kura kwanini usijitokeze hazarani kuwaeleza ukweli wananchi kuwa Prof. Tibaijuka, Prof. Muhongo, Mwambalaswa, Ngeleja na Chenge kuwa ni wezi wakubwa na wewe unalijua hilo bali unataka kutushawishi tuchague chama cha majizi.
 
Habari hii ina ukweli gani?au kina magamba wanajaribu janja hii kudhohofisha kasi ya watu makini kwenye mapambano.Lakini pia mbona issue ya urais 2015 inaumiza vichwa vya kina magamba wakati tangu wamchague rais hawana hata miaka miwili? wamegundua nini kwa bosi wao?:violin:
Tatizo mbowe amekiuka taratibu za chama chake kwa kuingia mkataba na fisadi nguli Tanzania
hivyo daima itaumiza wanachadema wengi kwakuwa hawajashirikishwa kwenye mgao ma mabilioni ya El.
 
Hivi wizi wa Lowassa unaojua vizuri kuanzia kujiuza ardhi nyingi na dili zake chafu katika Telecom?
Ulimwona Dr Slaa mwehu alipomweka katika List of Shame?
Unapowaongelea hao akina Chenge hakuna anayeafiki ila hatutaweza kuwapigia kura kama hatuko katika jimbo husika. Ila kwa urais tuna haki. Na kwa mujibu wa katiba hii ya 1977 anapata nguvu ya ajabu hatuwezi kumpa fisadi.
Utatukana eti kununuliwa bahati yako mbaya some of us hatuna bei kama wewe ulivyokiri kuwa mmekubali kuuzwa kwa Lowassa na mwenyekiti wenu Mbowe. Mmeshindwa kusimama na kumtetea mpambaji kama Dr Slaa na kumruhusu fisadi papa agombee kwa shinikizo la Mbowe ambaye keshatajirika.
End of the day mkishavuja jasho na kukosa kura mwenzenu Mbowe keshapata chake na nyumba anayo Dubai na mkopo ndo amemaliza kuulipa na pesa za Lowassa. We maisha yako hayatabadilika.
Lowassa baada ya uchaguzi ameshapanga akapumzike nyumba yake ya London au Singapore. Again mtabaki mliyouzwa bila faida yoyote.
Uzuri JamiiForums inatunza kumbukumbu vizuri na tutarudia topic. Usije na hadithi tofauti kuwa hukuwahi kumsapoti Lowassa au kuwa hukukubalika kununuliwa.

Mimi nakisapoti chama siyo mtu kama wewe ambaye unaona chama kinachofuga majambazi ndiyo bora zaidi, cha ajabu zaidi hata Rais anasema wazi kuwa pesa walizoiba siyo za serikali ni za wenyewe kwa hiyo serikali haiwezi kufungua mashitaka.
cha kushangaza sana wanaoiba kuku ndiyo wa kwanza kukamatwa wakati kuku siyo ya serikali.
cha kusikitisha zaidi hauonekani kupinga mafisadi kuchukua dola yaani uzalendo maslahi huo kuna kitu wanakumegea wewe.
 
Hivi wizi wa Lowassa unaojua vizuri kuanzia kujiuza ardhi nyingi na dili zake chafu katika Telecom?
Ulimwona Dr Slaa mwehu alipomweka katika List of Shame?
Unapowaongelea hao akina Chenge hakuna anayeafiki ila hatutaweza kuwapigia kura kama hatuko katika jimbo husika. Ila kwa urais tuna haki. Na kwa mujibu wa katiba hii ya 1977 anapata nguvu ya ajabu hatuwezi kumpa fisadi.
Utatukana eti kununuliwa bahati yako mbaya some of us hatuna bei kama wewe ulivyokiri kuwa mmekubali kuuzwa kwa Lowassa na mwenyekiti wenu Mbowe. Mmeshindwa kusimama na kumtetea mpambaji kama Dr Slaa na kumruhusu fisadi papa agombee kwa shinikizo la Mbowe ambaye keshatajirika.
End of the day mkishavuja jasho na kukosa kura mwenzenu Mbowe keshapata chake na nyumba anayo Dubai na mkopo ndo amemaliza kuulipa na pesa za Lowassa. We maisha yako hayatabadilika.
Lowassa baada ya uchaguzi ameshapanga akapumzike nyumba yake ya London au Singapore. Again mtabaki mliyouzwa bila faida yoyote.
Uzuri JamiiForums inatunza kumbukumbu vizuri na tutarudia topic. Usije na hadithi tofauti kuwa hukuwahi kumsapoti Lowassa au kuwa hukukubalika kununuliwa.

Umenunuliwa mpaka unashindwa kusimamia ukweli.
Magufuli katutia hasara zaidi ya tillion mbili bado una muona ana maana.
Wewe mtu wa ajabu sana tena sana.
 
Alianza Mtei >>>>Bob Makani(alioa dada wa Mtei)>>>>>Mbowe( kaoa Bint wa Mtei),
Katiba imebadilishwa ili Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti , kahodhi oportunity zote tender za CDM ,.....Mtei circle ilikuwa kama mbogo iliposemwa CAG aje akague hesabu ndani ya CDM,,,ni pesa zetu za kodi hawataki zikaguliwe.
Si kwamba twapenda sana CCM ila Mtei circle haina sifa za kuwa mbadala wa CCM ,ni mfumo mbovu kama ulivyokuwa CCM bali UKAWA mnatisha zaidi ya ukoma na huo uCHAGGA na UKASKAZINI ,sababu kila alipo MCHAGGA kama kiongozi,subordinates wengi kama sio wote ni WACHAGGA,na wala hamuoni aibu katika hili.
In short tunawaogopa
 
Ikiwa kuna ushahidi basi tuwekee hapa alipewa wapi na picha ziko wapi zinazoonyesha au wekeni story hazarani badala ya kutudanganya tu sisi, ooh mumenunuliwa ooh chama cha wachaga ooh Dr. Mkatoliki kwa hiyo ni cha kikristo.
Jaribuni kujenga hoja kama mama Tibaijuka alivyoweza kujenga hoja kuwa zile ni pesa za mboga tu.

Huoni kama uzii huu ni ushahidi tosha? kweli mapenzi ni upofu.
 
Hivi wizi wa Lowassa unaojua vizuri kuanzia kujiuza ardhi nyingi na dili zake chafu katika Telecom?
Ulimwona Dr Slaa mwehu alipomweka katika List of Shame?
Unapowaongelea hao akina Chenge hakuna anayeafiki ila hatutaweza kuwapigia kura kama hatuko katika jimbo husika. Ila kwa urais tuna haki. Na kwa mujibu wa katiba hii ya 1977 anapata nguvu ya ajabu hatuwezi kumpa fisadi.
Utatukana eti kununuliwa bahati yako mbaya some of us hatuna bei kama wewe ulivyokiri kuwa mmekubali kuuzwa kwa Lowassa na mwenyekiti wenu Mbowe. Mmeshindwa kusimama na kumtetea mpambaji kama Dr Slaa na kumruhusu fisadi papa agombee kwa shinikizo la Mbowe ambaye keshatajirika.
End of the day mkishavuja jasho na kukosa kura mwenzenu Mbowe keshapata chake na nyumba anayo Dubai na mkopo ndo amemaliza kuulipa na pesa za Lowassa. We maisha yako hayatabadilika.
Lowassa baada ya uchaguzi ameshapanga akapumzike nyumba yake ya London au Singapore. Again mtabaki mliyouzwa bila faida yoyote.
Uzuri JamiiForums inatunza kumbukumbu vizuri na tutarudia topic. Usije na hadithi tofauti kuwa hukuwahi kumsapoti Lowassa au kuwa hukukubalika kununuliwa.

Hebu sema kitu kimoja tu ambacho Lowasa ameiba na ameiba Tsh. Ngapi?
maana Richmond haikuwa fedha kama Escrow account.
Bali kukiuka taratibu za manunuzi
pia alisema hakuhusika kwa lolote lile saaa tatizo nini hapo?
Wakati Pinda ana sura ya kazi lakini muoga kupita kiasi.
Jaribu kujiamini wewe.
 
Sasa wewe mbona unashindwa kusimama kidete na kuwakataa mafisadi hao unabaki kusema hatuta wapigia kura kwanini usijitokeze hazarani kuwaeleza ukweli wananchi kuwa Prof. Tibaijuka, Prof. Muhongo, Mwambalaswa, Ngeleja na Chenge kuwa ni wezi wakubwa na wewe unalijua hilo bali unataka kutushawishi tuchague chama cha majizi.

Tatizo humu hatujuani nyuma kuna nani. Kwa kifupi tumepigana sana dhidi ya mafisadi ikiwa ni pamoja na hao uliowataja na hatujaanza na Tegeta Escrow. Tulikuwepo Buzwagi, EPA nk. Usifikiri tumezuka tu au tunaongea. Tupo humu na utatujua ukifuatilia posts zetu za huko nyuma. Wengine tumepigana katika hadhira siyo nyuma ya keyboard tu. Hivyo usitake kujifanya una uchungu na hii nchi zaidi yetu.
Narudia Mbowe na wapambe wake wamekiuza chama. Na wengine hatukuamini huko nyuma ingawa dalili zilikuwepo lakini leo imedhihirika. Narudia mwaka 2010 hatukupigia kura mafisadi na mwaka huu katika majimbo yetu na kwa ticket ya urais hatupigii kura mafisadi hususan fisadi papa Lowassa.
Lakini kwa kifupi umejipambanua na kukiri kuwa mmeuzwa na huna tatizo nalo. Mjadala unaendelea kwetu sisi tuliokataa kununuliwa.
 
Alianza Mtei >>>>Bob Makani(alioa dada wa Mtei)>>>>>Mbowe( kaoa Bint wa Mtei),
Katiba imebadilishwa ili Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti , kahodhi oportunity zote tender za CDM ,.....Mtei circle ilikuwa kama mbogo iliposemwa CAG aje akague hesabu ndani ya CDM,,,ni pesa zetu za kodi hawataki zikaguliwe.
Si kwamba twapenda sana CCM ila Mtei circle haina sifa za kuwa mbadala wa CCM ,ni mfumo mbovu kama ulivyokuwa CCM bali UKAWA mnatisha zaidi ya ukoma na huo uCHAGGA na UKASKAZINI ,sababu kila alipo MCHAGGA kama kiongozi,subordinates wengi kama sio wote ni WACHAGGA,na wala hamuoni aibu katika hili.
In short tunawaogopa

Ukiongea ukweli NYUMBU wanakasirika
 
Alianza Mtei >>>>Bob Makani(alioa dada wa Mtei)>>>>>Mbowe( kaoa Bint wa Mtei),
Katiba imebadilishwa ili Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti , kahodhi oportunity zote tender za CDM ,.....Mtei circle ilikuwa kama mbogo iliposemwa CAG aje akague hesabu ndani ya CDM,,,ni pesa zetu za kodi hawataki zikaguliwe.
Si kwamba twapenda sana CCM ila Mtei circle haina sifa za kuwa mbadala wa CCM ,ni mfumo mbovu kama ulivyokuwa CCM bali UKAWA mnatisha zaidi ya ukoma na huo uCHAGGA na UKASKAZINI ,sababu kila alipo MCHAGGA kama kiongozi,subordinates wengi kama sio wote ni WACHAGGA,na wala hamuoni aibu katika hili.
In short tunawaogopa

Mimi sijawahi kuwa mchaga na tena sitaraji kuwa Mchaga. Ila ikiwa kuwa Chadema ni Uchaga basi wengi ni wachaga.
Cha ajabu sana ni kwamba unapokosa mwelekeo lazima ujifiche kwenye ukabila, jenga hoja zenye mashiko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom