Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

Imepatikana muonekano wa ndani pia. Gazeti hili lilipotea kwa hiyo upatikanaji wake si rahisi.
 

Attachments

  • 1440296374846.jpg
    1440296374846.jpg
    14.5 KB · Views: 157
kwa tabia ya kupokea kila mtu na kukitoa kwenye misingi kusimamia ufisadi ..oct watalimwa na itakua mwisho wa upiznan
 
Hivi nyie wafuasi wa Mbowe (Hakuna PEOPLES' CHADEMA kuna MBOWE's CHADEMA) mmerogwa? Mimi siwaelewi kabisa na nadhani hamjielewi kabisa. Haiwezekani kabisa awageuzegeuze kama anavyotaka, Kesho akisema Lowassa Mbaya wote mtaamini na Mtaanza kuimba wimbo huo. Kama huyu mwandishi wa Sauti Huru alivyoandika mkapondaponda Leo kiko wapi. AIBUUU HATA NYIE! Mnamezeshwa maneno (eti Lowassa kaongozwa sala ya toba hivyo ni msafi) na mnayahubiri kama ndio sera ya kuwakomboa watanzania. Mimi sioni kama CDM inaweza kuongoza Tanzania BAAAADO. Mtaturudisha nyuma bureee. Subirini miaka 10 tena. Kajipangeni. Amin amin nawaambia baada ya OCTOBER 25 CDM itakuwa RIP soon. PINGENI LAKINI HILO LAJA. Hawa watu mmewaingiza huko wameshaingiza mambo ya walikotoka ya kukata watu tena hata walioshinda kwa kura nyingi. MMeona Monduli, Ludewa , Shinyanga, Bunda n.k walikotoka hao watu mmekatakata watu , tena dakika ya mwisho wasipate nafasi ya kukata rufaa. SHAURI YENU. SLAA ni Padre aliyewekewa mikono ya Utumishi kuchezea kazi yake ni kujibebesha laana. Hii laana itawatafuna.
 
Mkuu Mtetezihuru, wanasema The Truth will set you free!
Na ndicho kilichotokea kwetu tuliokuwa na mawazo huru. Kiuhakika hii thread wameshindwa kuja kutia mguu humu wapambe wa Mbowe kwa sababu wanaogopa ushahidi utawekwa mezani. Ukweli ni kuwa Mbowe alianza kupokea vijisenti vya Lowassa na Rostam zamani sana. Alipoambiwa na Lowassa kuwa anahitaji chombo kingine kuingia Ikulu baada ya mpango wake CCM kufeli, Mbowe alifanya valuation akampa amount na akakatiwa cha juu.
Ndiyo maana Dr Slaa aliwahi kuambiwa na Mwigamba baada ya Zitto atafuata yeye Dr Slaa.
Mbowe ni hatari sana kwa harakati za mageuzi ya Tanzania!
 
Kila siku nawaambiaga Mbowe amemegewa, kauza chama chetu, kumbe mkakati ulianza zamani.
Ifike mahali tuseme ufisadi NO!! by any means
 
Mm siku hizi nasoma tu zichangii kitu....nawamisi kina mzee mwanakijiji,teamo,denaamsi,pakamweusi,malaria sugu na ujinga wake,maria bonge,n wengineo wakongwe kuanzia enzi za jambo forum,ukiangalia mtirirko wa post tangu 2010,ni ujinga wa watoto wadogo kutuharibia jukwaa,invisible siku hizi mpole hata maonyo hutoi,ulishawahi kunipa maonyo makali kwa post zangu those days...bt nowerdays watu wanapost ujinga na matusi..upo wapi invisible
 
Mm siku hizi nasoma tu zichangii kitu....nawamisi kina mzee mwanakijiji,teamo,denaamsi,pakamweusi,malaria sugu na ujinga wake,maria bonge,n wengineo wakongwe kuanzia enzi za jambo forum,ukiangalia mtirirko wa post tangu 2010,ni ujinga wa watoto wadogo kutuharibia jukwaa,invisible siku hizi mpole hata maonyo hutoi,ulishawahi kunipa maonyo makali kwa post zangu those days...bt nowerdays watu wanapost ujinga na matusi..upo wapi invisible

Ukachukunguzwe akili ww maana naona kama dozi za Methodin zinakusumbua hivi
 
Mkuu, Mbowe kauza chama na wanacham. Naoa wewe umekataa kuuzwa...

Ila katika uuzaji wa Chama akishindwa kuuza wanachama wote na taratibu Chadema Asilia inaanza kudhihirika. Hawa hutawaona jukwaa mmoja na Chadema Lowassa. Daraja ya makundi haya mawili ni akina Mbowe yaani Chadema maslahi.
 
we inaonekana umeokotwa jalalani hujitambui kbs chama simali ya mtu hakiwez uzwa chadema ikoimara daima
 
we inaonekana umeokotwa jalalani hujitambui kbs chama simali ya mtu hakiwez uzwa chadema ikoimara daima
chadema imeuzwa tena kwa bei chee tu,au unajitoa fahamu katika hili!!?hakuna asiye fahamu kuhusu kuuzwa kwa chadema na Mbowe ndio dalali katika hilo
 
Mbowe= Nick Clegg. lol.

Ukweli ni kwamba mambo kama haya katika siasa yapo haswa katika nchi zetu hizi zakibongo. Ukweli ni kwamba JK will never let Lowassa be president (atatumia CC kukata jina lake, na sababu itakayosemwa ni ile ile iliompoteza Malecela kuwa Mwalimu alikua hamtaki na pia scandal na kujiuzulu kwake kunamfanya asifae).

Kwahiyo kuna logic kubwa hapa. Inawezekana sana hizi zikawa campaign za Zitto kujaribu kumpunguza nguvu Mbowe (kama ni uongo) lakini vile vile inawezekana ikawa kwamba ni mchongo wa CCM kuivunja nguvu CHADEMA (JK and his people might have found that it would be useful to undermine Lowassa through this and at the same time undermine CHADEMA). Lakini kwa kuzingatia jitihada za Lowassa kujisafisha na kujihalalisha kuwa na nafasi ya kiti cha Rais ametoa pesa nyingi kuwezesha wabunge wengi wa CCM na hata wa upinzani kushinda uchaguzi.

Makadirio yasio rasmi kutoka wanasiasa mbali mbali zinasema kuwa ametoa pesa kwa takribani asilimia 75% ya wabunge waliopo Bungeni hivi sasa. Pamoja na kununua viongozi wengine wa CCM, viombo vya usalama ikiwemo TISS na vile vile vyombo vya habari kama tunavyofahamu tayari.

Hii inaonyesha strategy ya huyu bwana ni kucontrol channels zote zinazotumika kuchuja na kuchagua Rais. Bila shaka anawatu wake Central Committee lakini JK anaweza mpoteza aidha kwa kutumia sababu ambazo nimetaja hapo juu haswa kama CHADEMA na vyombo vingine vya kisiasa vikiendelea kumuandama katika miaka hii mitano ijayo. Hivyo kwa kuzingatia tactics it is extremely logical and likely that these allegations are true.

There is a clear motive on Lowassa's part as well as Mbowe ( kama ilivyotokea kwa Clegg, na kama hali ilivyo Kenya kwa mfano). Ukweli ni kwamba hii kitu ni mbaya na inahitaji kuchunguzwa zaidi na kutumia misingi ya kuto kupendelea au kufikiria kwa kutumia hisia za uzalendo wa ki-CHADEMA. In other words, these allegations warrant serious objective investigation and analysis.

Lisemwalo lipo na kama halipo basi linachongwa na 2015 mtaliona.

lililosemwa enzi zile lipo na linaendelea 2015 tumeshuhudia mengi.
 
mkuu daaah ...lini ulipata hizi fununu ambazo now zimekuwa kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom