Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

Kwa niaba ya Baraza la Vijana wa
CHADEMA (BAVICHA), kwa
taarifa hii tunarudia kukemea jitihada zozote za kumlinda na
kumtangaza Lowassa
kuwa shujaa katika taifa letu kwani hali hii ikiachwa
kuendelea inatoa mfano
mbaya kwa vijana wa Tanzania. Tusingependa kwa namna yoyote
katika taifa letu,
mtuhumiwa wa ufisadi aliyetajwa pia katika orodha ya
mafisadi(list of shame)
kulindwa na kuenziwa kama shujaa wa Taifa letu kwani ni
kuharibu maana nzima ya
ushujaa katika uwajibikaji.


Imetolewa tarehe 31 Agosti 2008
safirini Kenya na:

John Mnyika

Mkurugenzi wa Vijana

0754694553
 
Stunning!

Hii habari ilisikika huko nyuma na watu wakaipotezea lakini jamani lisemwalo lipo na kama halipo basi laja.

Mimi nikiangalia mwelekeo hata wa gazeti la Tanzania Daima hivi karibuni ninapata picha kwamba kuna jambo linachemka n siyo muda mrefu tunaweza kuona kitu cha kushangaza. Gazeti hili ambalo huko nyuma lilikuwa makini sana, kwa sasa limegeuka kuwa mdomo mahiri wa bwana Lowassa kila anapokuwa na lolote la kumpandisha chati. Hata suala la Dowans linavyopigiwa debe chanya na akina Hapiness Katabazi na wenzake ni jambo ambalo si la kupuuza.

Lakini hili la bwana Kibanda kuwa ndiye "mmiliki" wa jarida la UMOJA ambalo duru za uchuguzi zinasema ni mradi wa kumtakasa mkubwa huyu, na wakati huo huo akiwa ni mhariri mtendaji wa Tanzania Daima ni mambo yanayoleta mkanganyiko wa kujenga mashaka.

Chadema liangalieni hili kwa jicho lisilo la kishabiki ili kama lipo lizuiwe mapema maana litakiua chama au kukiondolea imani kwa wananchi.

Mkuu banyimwa uliona mbali sana miaka 4 nyuma leo yanatimia. Mkuu Zitto unatisha sana ipo siku Watanzania watakuelewa tu
 
Last edited by a moderator:
Kwa niaba ya Baraza la Vijana wa
CHADEMA (BAVICHA), kwa
taarifa hii tunarudia kukemea jitihada zozote za kumlinda na
kumtangaza Lowassa
kuwa shujaa katika taifa letu
kwani hali hii ikiachwa
kuendelea inatoa mfano
mbaya kwa vijana wa Tanzania. Tusingependa kwa namna yoyote
katika taifa letu,
mtuhumiwa wa ufisadi aliyetajwa pia katika orodha ya
mafisadi(list of shame)
kulindwa na kuenziwa kama shujaa wa Taifa letu kwani ni
kuharibu maana nzima ya
ushujaa katika uwajibikaji.


Imetolewa tarehe 31 Agosti 2008
safirini Kenya na:

John Mnyika

Mkurugenzi wa Vijana

0754694553
Si shujaa tu, leo tunaambiwa ndiye mkombozi wa watanzania.
 
mbowe si safi linamaana yes or no ndiyo nini mbona uzi wakipuuzi sana huu!
 
Kwa niaba ya Baraza la Vijana wa
CHADEMA (BAVICHA), kwa
taarifa hii tunarudia kukemea jitihada zozote za kumlinda na
kumtangaza Lowassa
kuwa shujaa katika taifa letu kwani hali hii ikiachwa
kuendelea inatoa mfano
mbaya kwa vijana wa Tanzania. Tusingependa kwa namna yoyote
katika taifa letu,
mtuhumiwa wa ufisadi aliyetajwa pia katika orodha ya
mafisadi(list of shame)
kulindwa na kuenziwa kama shujaa wa Taifa letu kwani ni
kuharibu maana nzima ya
ushujaa katika uwajibikaji.


Imetolewa tarehe 31 Agosti 2008
safirini Kenya na:

John Mnyika

Mkurugenzi wa Vijana

0754694553



Hahahahahahaha
 
Mwandishi wa thread hii atakuwa anayetaka kuwaambukiza wote wazimu wake! Hataji lini, wapi, kiasi cha pesa na jinsi zilivyolipwa! Watanzania si wajinga kiasi hicho! Akajipange upya na ahusishe vyombo wanavyotumiaga!

sio ya leo hii mkuu....ni ya miaka minne iliopita ila tu ilibashiri kile ambacho kinatokea leo!
 
always thought somthing was off na uswahiba huu wa ghafla wa EL na Dj Freeman na CDM yetu.....SHIKAMOO JAMII FORUMS!!!

KWELI NATAMANI MABADILIKO ILA SIYATAKI KAMA YANAKUJA KWA NJIA HII!
Respect to Zitto and Dr.Slaa
 
CCM walishajifia long time ... Hao wakatoliki waliouza nchi yetu wanafanya kila wawezalo ili waendelee kutawala .... bahati mbaya kwao...
 
Tangu ishu ya Zitto maamuzi ya Mbowe niyatilia shaka na sikuyaafiki, Imekuja hii ya Lowassa nayo pia Haikuniingia akilini hata kidogo ,,,nilibaki nashangaa watu wanamsupport kivipi? kwanini?
 
CCM walishajifia long time ... Hao wakatoliki waliouza nchi yetu wanafanya kila wawezalo ili waendelee kutawala .... bahati mbaya kwao...

We ukiwa kama? Hebu toa udini wako hapa! Usitake kutugawa!
 
Kwa niaba ya Baraza la Vijana wa
CHADEMA (BAVICHA), kwa
taarifa hii tunarudia kukemea jitihada zozote za kumlinda na
kumtangaza Lowassa
kuwa shujaa katika taifa letu kwani hali hii ikiachwa
kuendelea inatoa mfano
mbaya kwa vijana wa Tanzania. Tusingependa kwa namna yoyote
katika taifa letu,
mtuhumiwa wa ufisadi aliyetajwa pia katika orodha ya
mafisadi(list of shame)
kulindwa na kuenziwa kama shujaa wa Taifa letu kwani ni
kuharibu maana nzima ya
ushujaa katika uwajibikaji.


Imetolewa tarehe 31 Agosti 2008
safirini Kenya na:

John Mnyika

Mkurugenzi wa Vijana

0754694553

Siasa za Tanzania kwa kiwango kikubwa ni upuuzi mtupu!
 
Kwa niaba ya Baraza la Vijana wa
CHADEMA (BAVICHA), kwa
taarifa hii tunarudia kukemea jitihada zozote za kumlinda na
kumtangaza Lowassa
kuwa shujaa katika taifa letu kwani hali hii ikiachwa
kuendelea inatoa mfano
mbaya kwa vijana wa Tanzania. Tusingependa kwa namna yoyote
katika taifa letu,
mtuhumiwa wa ufisadi aliyetajwa pia katika orodha ya
mafisadi(list of shame)
kulindwa na kuenziwa kama shujaa wa Taifa letu kwani ni
kuharibu maana nzima ya
ushujaa katika uwajibikaji.


Imetolewa tarehe 31 Agosti 2008
safirini Kenya na:

John Mnyika

Mkurugenzi wa Vijana

0754694553

Pole kamanda Mnyika, kama nakuona unavyolazimishwa kula matapishi yako..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom