Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

Nina imani na lowasa
Ukawa walikuwa mstari wa mbele kuchukia ufisadi. Walipiga kelele na dunia yote ikasikia. Kila mtu alilia juu ya hilo.
Lakini imekuja kugundulika kuwa chadema na ukiwa yote walichukia ufisadi kwa sababu walikuwa hawajapata nafasi ya kuwa mafisadi. Sasa nimafisadi hawana habari na kuwasema mafisadi kwasababu watakuwa wanajivua nguo.

Ukawa ni mafisadi. Tuwaogope. Tusiwape kura.
 
mkuu tukubali tukatae lowasa anakubalika sana sana sana hata km wachache hawapendi kuski hii
yeah, deal ya ccm kumchafua lowasa kwa Uzi uu imebuma mkuu, kasome na comment ya "BANYIMWA" mwanzo wa hii thread utagundua issue hii imetengenezwa kumchafua el! Huyo banyimwa katika comment yake analalamikia kitendo cha gazeti la mtanzania daima huko nyuma kutumika kumkashfu lowasa ila sasa linamsifia!! Na ujiulize gazeti hilo limeanza kumsifia lowasa lini kama sio majuzi baada ya mafuriko!! CCM mnanuka kwa kupika huongo jamani! Mi mwenzio akili imejaa bado na ndiyo maana unaambiwa za kuambiwa changanya na za kwako.. Deal ya CCM kumchafua lowasa imebumaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Ukawa walikuwa mstari wa mbele kuchukia ufisadi. Walipiga kelele na dunia yote ikasikia. Kila mtu alilia juu ya hilo.
Lakini imekuja kugundulika kuwa chadema na ukiwa yote walichukia ufisadi kwa sababu walikuwa hawajapata nafasi ya kuwa mafisadi. Sasa nimafisadi hawana habari na kuwasema mafisadi kwasababu watakuwa wanajivua nguo.

Ukawa ni mafisadi. Tuwaogope. Tusiwape kura.
Mafisadi wapo ndani ya CCM mkuu, wanafugwa, wamekumbatiwa huko! Lowasa angekuwa fisadi ungetuka mshampeleka mahakamani, ila aibu iwe kwenu mmebakia kuchonga tu!! Hii deal yenu ya bango lenu mliloweka hapa imebumaa mzee, Ni ya kutengeza nimeshapata na ushahidi!! Mtachubuka vidole vya mikono kwa kumchafua mzee wa watu na Mbowe kwa mahuongo yenu, ndoroboooooooo nyinyi
 
Mkuu mie niko sensitive sana na allegation ya aina yoyote ile, huwa ninapenda kujifunza na kufahamu vitu vipya ikiwezekan kila siku. Baada ya allegation hii niliamua kufuatilia posts zote za nickname nimeona ni kweli tarehe 31 Machi 2011 aliianika hii post hapa jamvini, kong'oli kwenye hii link hapa chini kisha scroll hadi upate tarehe 31 Machi 2011.:

https://www.jamiiforums.com/search.php?searchid=39683396&pp=&page=3

Utamuua kwa ugonjwa wa moyo huyu.Hii ni JF ya kiwango kilee!!

Sio JF ya wana- mafuriko
 
Uzushi kwa watu kama nyie msio na haiba wala weledi hivi kusoma hujui hata picha tu huoni hivi inawezekana vio mtu uliekua unamtangaza tanzania nzima kwa wananchi ukimuita fisadi papa tena hafai leo hii unaaminishwa tena kwa siku moja eti ni msafi ila mfumo heeeee mmepotea sana chama pekee cha kushukuriwa ni CCM hakina tabu yani mwendo wa magufuli hauzuiliki HapakaziTU
Tumeamua kumwamini aliyekuwa anasadikika kuwa fisadi papa maana kashatolea ufafanuzi kuwa amri ilitoka kwa bosi wake juu ya kusign mkataba wa Richmond na yeye alitaka kuuvunja! Tumemuamini maana hata police wa Mwanga waliomsuia asiende usangi kwenye msiba wa mzee kisumo walisema wamepata amri ya kumzuia toka mamlaka ya juu ila wao kama police hawamkatazi mtu kwenda kuzika ila wanatekeleza amri!! Nimegumdua mamlaka ya juu inanguvu kuliko ya chini na amri zote zinatoka mamlaka ya juu, nimegundua mamlaka za chini ni ya watumwa wa kukubali amri ya bosi (mkoloni mweusi). So wote hawana hatia.... Kwi, kwi, kwi, kwi, kwi....deal kwishbey, deal imebuma
 
Last edited by a moderator:
Mtahangaikaaaa kumchafua Lowassa, na mmeshimdwaaaaaaa...!!! mamaaaaaeee
 
Uongo hupanda lifti, ukweli hupanda ngazi.

Sasa tunaanza kujua nini hasa chanzo cha ugomvi wa Zitto na Mbowe.

Na kwa nini Mbowe anatumia nguvu nyingi sana kuiaminisha jamii kuwa Zitto alikuwa msaliti.
 
Kaka hayo sio mambo ya mtaa wa pili ila ni mambo ya manufaa kwa nchi nzima na watanzania wote wapate kulitambua hilo na waachane na siasa za lowasa maana hazina ukweli bali ulaghai ndio maana anaamua kuwatumia watu wa hali ya chini kwa kuwapa pesa ili wamtukuze OGOPA SANA MICHEPUKO SIO DILI #HAPAKAZITU CCM MBELE KWA.MBELE HAPA MAGUFULI TU

uchu wa madaraka utawauwaa.. Yaani kazi mnayo hapa ni UKAWA tu mbele kwa mbele pombe mwisho counter. Tumewachoka wezi nyinyi
 
Uongo hupanda lifti, ukweli hupanda ngazi.

Sasa tunaanza kujua nini hasa chanzo cha ugomvi wa Zitto na Mbowe.

Na kwa nini Mbowe anatumia nguvu nyingi sana kuiaminisha jamii kuwa Zitto alikuwa msaliti.
Kanjanja upo kazini, haumpati mtu hapa sumu yako kamwage baharini wajanja tushashtuka ccm Ni kimeo/magumash
 
yeah, deal ya ccm kumchafua lowasa kwa Uzi uu imebuma mkuu, kasome na comment ya "BANYIMWA" mwanzo wa hii thread utagundua issue hii imetengenezwa kumchafua el! Huyo banyimwa katika comment yake analalamikia kitendo cha gazeti la mtanzania daima huko nyuma kutumika kumkashfu lowasa ila sasa linamsifia!! Na ujiulize gazeti hilo limeanza kumsifia lowasa lini kama sio majuzi baada ya mafuriko!! CCM mnanuka kwa kupika huongo jamani! Mi mwenzio akili imejaa bado na ndiyo maana unaambiwa za kuambiwa changanya na za kwako.. Deal ya CCM kumchafua lowasa imebumaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Khaa!! Pombe bana..ngoja mtanyooka tu
A%20S-smoking.gif
 
Tusivunjike moyo tuendelee kuwa elimisha vijana wenzetu wataelewa tu. Mbona hizi zipo nyingi tu post za kitambo kuna ya Lowasa kuhamia ukawa ya 2014 yan humo ndio aibu wanaukawa walivyojiapia kujiua kama El atahamia Ukawa....never say never...
 
Hahaa yaani Chadema watakuwa bize wanatafuta njia ya ku-hack server ya JF jinsi walivyoumia. Sijawaona watetezi wakuu wakiingia humu kusema chochote. Wanajua wakiweka mguu watapewa evidence.
Malipo hapahapa duniani!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom