Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Hiyo imesha expire. Tayari ilishasomwa kwenye lile gazeti lenu sasa ulitegemea liandikeje?Mkiti wa Taifa wa Chadema, Mbunge wa Hai, na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, ameibomoa ccm kwa kufungua shina la wakereketwa wa Chadema wilayani hai karibu na nyumbani kwa mkiti wa ccm wilaya ya Hai Amini Uronu. Mh. Mbowe pia alipokea wanachama wapya 30 kutoka chama cha mapinduzi (CCM). Miongoni mwa waliorudisha kadi hizo ni wanafamilia wa Mkiti huyo wa ccm ( Amini Uronu) ambao ni wadogo zake - nao ni Zawadi Uronu na Haruna Uronu. Vijana hao, wengi wao ndo waliokuwa tegemeo na wahamasishaji wakuu wa ccm wilayani hapo.
My take,
Wadogo zake na mkiti wa ccm wilaya wanaiasi ccm, nani ataitetea ccm?
Kama walioko ndani wana migogoro mikubwa, I can not wait 2015.
Thanks.