Mkaguzi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2007
- 250
- 27
Huyu Fisrt lady wa mwanakjj hata nywele hana ndio maana Mbowe yuko na kina GRACE KIWELU.
inaoekana jinsi huyu mama anavyoijua pesa na wagonjwa wa muhimbili atakuwa anawachukua Figo na kwenda kuziuza India.
mtizame alivyotoa macho kama mjusi.
http://www.newhabari.com/mtanzania/
Admin nadhani kuna haja ya kuweka utaratibu kudhibiti watu wanaotumia lugha za kudhalilishana kama hizi. cdhani kama kulikuwa na sababu yoyote ya kutumia lugha hiyo na pia hapa hatujadili muonekano wa mtu. Hili linaweza haribu reputation ya JF ambayo imetuchukua muda na gharama kuijenga.
Naomba tusikubali watu wachache ambao naweza sema "wametumwa" kuiharibu heshima nzima ya JF kwa kutumia lugha ambazo zitatoa taswira tofauti kwa wasomaji zaidi ya mamilioni wa JF.
Lets not allow some few "mamlukis" to ruin our reputation and make us seen as Tovuti ya Udaku na majungu